Ataka Homa ya ini itangazwe janga la kitaifa
SERIKALI imetakiwa kutangaza ugonjwa wa homa ya ini kuwa janga la kitaifa kutokana na kuongezeka kwa kasi kwa ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima jumapili, Kaimu Mratibu Huduma za Selimundu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Mar
RC Dar ataka tahadhari homa ya ini kwa watoto
MKOA wa Dar es Salaam umesema watoto waliozaliwa kabla ya mwaka 2008 hawana kinga ya ugonjwa wa homa ya ini, hivyo imeagiza Manispaa zote kuwapima na kuwapatia kinga ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani na kuwasisitiza wanawake kuhakikisha wanapatiwa chanjo ya ugonjwa huo hasa wakati wa ujauzito.
11 years ago
GPLUZINDUZI HOMA YA INI LEO
11 years ago
GPLKAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Homa ya ini hatari kuliko ukimwi
WADAU wa mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B), wamesema takriban watu milioni moja wanapoteza maisha kila mwaka dunia kutokana na ugonjwa huo. Pia wadau...
11 years ago
GPLWADAU WAONGEZEKA KAMPENI YA HOMA YA INI
11 years ago
GPLKAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA IJUMAA
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wanafunzi kupewa chanjo homa ya ini Dar
11 years ago
GPLGLOBAL KUIPINGA HOMA YA INI NCHI NZIMA
11 years ago
GPLHOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI