Ataka madiwani wakague miradi
MADIWANI halmashauri ya wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma, wamehimizwa kukagua miradi ya maendeleo ili kukabiliana na makandarasi ambao si waaminifu ambao hutekeleza miradi chini ya kiwango.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Madiwani Itilima wakataa miradi
MIRADI 60 ya hifadhi mazingira iliyopo katika vijiji 8 vya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu yenye thamani ya sh bilioni moja imekataliwa na madiwani wa wilaya hiyo. Miradi hiyo mikubwa...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea miradi ya UTT-PID
Mkurugenzi Mkuu wa UTT-PID, Dk. Gration Kamugisha (kulia) akielezea juu ya Taasisi hiyo juu ya utendaji wa kazi zake hapa Nchini, kushoto kwake ni Naibu Meya wa Manispaa ya Lindi, Amida Abdallah na pichani chini kulia ni Mstahiki Mstahiki Meya wa manispaa ya Lindi, Frank Magali.
Baadhi ya Madiwani wa Manispaa ya Lindi, wakiendelea na mafunzo hayo kutoka kwa maofisa wa UTT-PID (hawapo pichani).
Baadhi ya Madiwani kutoka Halmashahuri ya Lindi wakifuatilia mafunzo ya elimu juu ya ufanyaji...
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea miradi ya UTT-PID
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FMkurugenzi-Mkuu-wa-UTT-PID-Dk.-Gration-Kamugisha-kulia-akielezea-juu-ya-Taasisi-hiyo-juu-ya-utendaji-wa-kazi-zake-hapa-Nchini-kushoto-kwake-ni-Naibu-Meya-wa-Manispaa-ya-Lindi-Amida-Abdala.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FUTT-PID.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FBaadhi-ya-Madiwani-wa-Manispaa-ya-Lindi-wakiendelea-na-mafunzo-hayo-kutoka-kwa-maofisa-wa-UTT-PID-hawapo-pichani.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FBaadhi-ya-Madiwani-kutoka-Halmashahuri-ya-Lindi-wakifuatilia-mafunzo-ya-elimu-juu-ya-ufanyaji-wa-kazi-wa-UTT-PID.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Habarileo07 Jan
RC ataka madiwani wa Bukoba kumaliza tofauti
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe amewashauri madiwani wa Manispaa ya Bukoba kuondoa tofauti zao na kukaa pamoja kutengeneza mipango ya maendeleo ya wananchi wao.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MALALAMIKO: Lembeli ataka madiwani wazembe Kahama wazomewe
11 years ago
Mwananchi06 Mar
DC ataka miradi isimamiwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sukGDga1K-k/XrvZw-s86cI/AAAAAAALqDM/-TnR4RM2-2g1SFjiONbZYDJifNWT1yPyACLcBGAsYHQ/s72-c/25761ac5-fedb-4a76-946c-1693ac433d3f.jpg)
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iw5m0Mu4lHM/VXtJm3kMlqI/AAAAAAAC6eE/PXNeQoht1DQ/s72-c/6.jpg)
KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iw5m0Mu4lHM/VXtJm3kMlqI/AAAAAAAC6eE/PXNeQoht1DQ/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lm0v05FRFNI/VXtJmkGb-VI/AAAAAAAC6eA/_t1LaiDu_XA/s640/7.jpg)
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...