Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari za ukuwaji Afrika kwa wastaafu

Wataalamu wa malipo ya uzeeni Afrika wanakutana Nigeria kubadilishana ujuzi na kushinikiza maendeleo katika masoko ya malipo hayo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Athari za ukuaji Afrika kwa wastaafu

Mkutano wa kimataifa wa maswala ya malipo ya uzeeni barani Afrika umeanza Jumatatu mjini Abuja nchini Nigeria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marais wastaafu wajadili uchumi wa Afrika

MARAIS wastaafu sita kutoka barani Afrika walikutana mwishoni mwa wiki katika mdahalo wa kujadili mwelekeo wa uchumi wa nchi za bara hilo na watu wake. Mdahalo huo wa siku moja...

 

10 years ago

Mwananchi

MARAIS WASTAAFU : Afrika ikiungana itaharakisha mapinduzi kiuchumi

Siku hizi Afrika iko nyuma kwa kila kitu, kuanzia maendeleo ya viwanda, teknolojia, elimu, afya, kilimo na hata miundombinu.

 

9 years ago

Mwananchi

Marais wastaafu Afrika kuongoza waangalizi Uchaguzi Mkuu

Marais wastaafu; Goodluck Jonathan wa Nigeria na Armando Guebuza wa Msumbuji wataongoza jopo la waangalizi wa kimataifa wanaotarajiwa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika

IATA imesema madhara ya kiuchumi yanakuwa mabaya zaidi kwa mashirika ya ndege ya Afrika ambapo mwaka jana yalipata hasara ya pauni milioni 78.

 

9 years ago

Michuzi

TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA



TANZANIA na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano


Na Semu Mwakyanjala, TCRA


KUMEKUWEPO na ukuaji  mkubwa na mpana wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania kwa upande wa miundombinu na huduma ambavo kwa pamoja vimeleta faida kwa Watanzania  katika miaka ya hivi karibuni. Sekta hii inaongozwa na Sera ya Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano ( TEHAMA) ya mwaka 2003.


Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, kwa kifupi TCRA, ni chombo huru cha Serikali kinachohusika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.

 

11 years ago

Michuzi

Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?


Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Habari njema kwa wastaafu

SERIKALI imeongeza kima cha chini cha malipo ya pensheni kwa wastaafu kuanzia mwaka wa fedha ujao. Kwa sasa wastaafu wanalipwa pensheni ya sh 50,000 kwa mwezi, ambazo hulipwa kila baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani