Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari za wahamiaji kisiwani lampedusa

Mzozo wa Libya umesababisha watu zaidi kufanya safari hatari kwa mashua kujaribu kuingia Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU ATEMBELEA KISIWANI PEMBA KUJIONEA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABINCHI


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu amaeahidi kupeleka Wataalamu wa mazingira  kwa ajiili ya kufanya tathmini  katika eneo la Kwamgogo lililopo Kisiwani Pemba ambalo limeathirika na mabadiliko ya tabianchi. Amesema hayo kisiwani Pemba alipotembelea eneo hilo kujionea athari za kimazingira zilizosababishwa na mabadiliko ya tabinchi. 
Ameongeza kuwa lazima jitihada za haraka zichukuliwe katika eneno hilo ili kuweza kuepusha kisiwa cha Pemba...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.

Pichani juu na chini ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Baadhi ya wakazi wa mji wa Kizimkazi waliofika katika uwanja wa Kizimkazi Mkunguni,Wilaya ya Kusini Unguja kumsikiliza.Ndugu Kinana ambaye leo anaikamilisha ziara yake ya siku kumi katika kisiwa cha Unguja akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,katika suala zima la kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.Mkutano wa hadhara ukiendelea katika uwanja wa Kizimkazi...

 

10 years ago

BBC

Survivor remembers Lampedusa wreck

"I feel so happy, I feel so bad" says migrant who lived after wreck

 

10 years ago

BBC

In pictures: Child migrants on Lampedusa

African child migrants live in limbo on island of Lampedusa

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yakarabati duka jingine kisiwani Zanzibar, Wateja kufurahia huduma bora kutoka Airtel kisiwani Zanzibar.

Airtel Tanzania imefungua duka lake la kisasa kisiwani Zanzibar lililopo mtaa wa Mlandege lenye uwezo wa kuhudumia wateja zaidi ya 100 kwa siku. Ni duka la kisasa ambalo lipo karibu na wateja lenye kurahisisha maisha ya wateja wote wa Airtel kisiwani Zanzibar.  Akizungumza katika uzinduzi wa duka hilo Mkurugenzi kwa huduma kwa wateja , Bi Adriana Lyamba alisema, "kwamba kupanua kwetu kwa huduma za mtandao kwa wateja wetu ni ishara tosha ya kuonyesha ni jinsi gani Airtel inajali wateja...

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Rescued migrants arrive on Lampedusa

The Italian coastguard has rescued more than 2,000 migrants in a major operation off the Libyan coast, according to officials.

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake 2 wanyongwa kisiwani

POLISI mkoani Mwanza imetaka wakazi wa kisiwa cha Ukara wilaya ya Ukerewe, kuacha usiri badala yake wasaidie kupata watu waliohusika na mauaji ya wanawake wawili yaliyotokea kisiwani hapo jana.

 

9 years ago

Michuzi

JK AUNGURUMA KISIWANI PEMBA

 Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza na Maelfu ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM  na wananchi wa Kisiwani Pemba katika mkutano wa kufunga kampeni za Chama hicho katika uwanja wa Gombani yakale leo   na kuwaombea kura wagombea wote wa CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza na Maelfu ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM  na wananchi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada yawasili kisiwani Vanuatu

Msaada wa dharura umeanza kuwasilishwa katika visiwa vilivyoathiriwa vibaya na kimbunga Pam nchini Vanuatu wiki iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani