Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK AUNGURUMA KISIWANI PEMBA

 Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza na Maelfu ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM  na wananchi wa Kisiwani Pemba katika mkutano wa kufunga kampeni za Chama hicho katika uwanja wa Gombani yakale leo   na kuwaombea kura wagombea wote wa CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza na Maelfu ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM  na wananchi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.

Pichani juu na chini ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Baadhi ya wakazi wa mji wa Kizimkazi waliofika katika uwanja wa Kizimkazi Mkunguni,Wilaya ya Kusini Unguja kumsikiliza.Ndugu Kinana ambaye leo anaikamilisha ziara yake ya siku kumi katika kisiwa cha Unguja akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,katika suala zima la kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.Mkutano wa hadhara ukiendelea katika uwanja wa Kizimkazi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana aunguruma Pemba

 

Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mikoa miwili ya Kisiwani Pemba waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika jioni ya leo kwenye Viwanja vya Gombani ya Kale,Kisiwani Pemba.Katika hobuba yake,Ndg. Kinana amewataka Wananchi wa Kisiwani humo,kutohadaika na Wanasiasa wanapita kila mahali kwa lengo la kulipotosha Taifa,hasa juu ya swala la Muundo wa Serikali katika Mchakato wa Katiba Mpya.

35

Katibu Mkuu wa CCM,Ndg....

 

11 years ago

GPL

KINANA AUNGURUMA PEMBA‏

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mikoa miwili ya Kisiwani Pemba waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika jioni ya leo kwenye Viwanja vya Gombani ya Kale,Kisiwani Pemba.Katika hobuba yake,Ndg. Kinana amewataka Wananchi wa Kisiwani humo,kutohadaika na Wanasiasa wanapita kila mahali kwa lengo la kulipotosha Taifa,hasa juu ya swala la Muundo wa Serikali...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAWASILI KISIWANI PEMBA

 Viongozi wa Chadema wakiwapungia mikono wananchi waliofika kuwapokea Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba baada ya kuwasili kisiwani humo kwa mkutano wao Wakiwa na Katibu Mkuu wa Chadema Slaa.Katibu Mkuu wa Chadema Dk,Slaa akivishwa koja la maua na mtoto aliyweandaliwa katika sherehe za mapokezi ya Viongozi hao walipowasili uwanja wa ndege Pemba kwa ziara yao na kuzungumza na wanachama wao.             Ngoma ya Kibati ikitumbuiza mapokezi ya viongozi wa Chadema huko Pemba. Katibu mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa CCM kisiwani pemba

 Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na WanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika Uwanja wa Gombani ya Kale Kisiwani Pemba leo
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akionesha Katiba Iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba zungumza na wananchi na WanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika Uwanja wa Gombani ya Kale Kisiwani Pemba leo.(Picha...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

GPL

DK. SHEIN AUNGURUMA JIMBO LA MKOANI PEMBA

Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai alipowasili katika viwanja vya mkutano vya Chokocho Wilaya ya Mkoani Pemba kwa ajili ya kampeni yake kwa wananchi wa Jimbo hilo la Mkoani. Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KISIWANI PEMBA

MRATIBU wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed, akifungua kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake dunia, ambapo kituo hicho kilikutana na wadau kujadili changamoto na mafanikio ya wanawake, yaliofanyika kwenye kituo hicho mjini Chake Chake,MWANDISHI wa habari kutoka Idara ya Habari Maelezo Pemba Mohamed Khalfan Ali, akichangia jambo kwenye kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake dunia, yaliondaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC...

 

10 years ago

GPL

DK. SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Karume Pemba ambapo atazindua Sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM katika Uwanja wa Gombani Wilaya ya Chakechake Pemba.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani