Atumia mil 435/- kutekeleza Ilani ya CCM
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, imempongeza Mbunge wa Mvomero, Amos Makalla, kwa kutumia zaidi ya Sh milioni 435 kufanikisha utekelezaji wa ilani ya chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini aendelea kutekeleza ilani ya CCM
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea ofisini kwake wakati akikabidhi Vifaa mbalimbali kwa wananchi wa Jimbo la Morogoro Mjini Ikiwa ni Utekelezaji wa Ahadi zake alizotoa Kipindi Akiomba kura ya Kuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Pamoja za Ahadi anazotoa kwenye Mfululizo wa Ziara zake anazofanya Mara kwa mara katika Kata Mbalimbali za Jimbo la Morogoro Mjini.
![IMG_0126](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_0126.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Azizi Abood akikabidhi Mboa kwa Viongozi wa Msikiti kwajili ya Kumalizia...
10 years ago
GPLMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AENDELEA KUTEKELEZA ILANI YA CCM
9 years ago
Habarileo30 Oct
Kinana: Kazi sasa ni kutekeleza Ilani
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema ushindi wa urais wa Dk John Magufuli kupitia chama hicho, ni ishara kuwa wananchi wameendelea kuiamini CCM.
11 years ago
Michuzi07 Jul
MH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA KWENYE JIMBO LAKE LA CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/19.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmiXLrKF4Lg/VD2AZI-ukCI/AAAAAAAGqg0/0bmxLjkTMjE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI
Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo, alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.
“Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...
9 years ago
Michuzi30 Aug
MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VHUbjDslBuVE2gAltUkkYrsJ4lKAWP0rpseRTiaAWgEbDDwSPTcn2j-YkfjIY5vvtMChACdir1h71dLURHHh7HjkwVgZW8K0lSFRZETVRkzKv7RO_x6qLb9d6r10RrFx9j4uAbBwHRZ5CQlEVGwo1ou3dtqCoftIWgXsAhLXV5Bz15tm9cmKR0fTqjPHTJEof4Dghps0ms-zataDjtf3KsSPbijPLX0JJrsO5Un2VF5ZMaKgk1lsMWwAsvGXQij2sigyoJ9jEXCJwASLMp-cmbK4TAxHnE7F_H-WErJcIFrKzCpUQy-FBFYVkmDX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11923258_971530522909019_4441548453771867672_n.jpg?oh=17876588a3e6c8daa613e9cb724c2183&oe=5665378F&__gda__=1450162361_40222b815672b6ea61115438f8e1dc29)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0MJ6zhqkxdsKoRfwtburWfwub6VcXzDgv_ze_MjIk9RM8N3oF9ZZ0f7AxRNYjciyqpAOrL8X133klkZK2JycbM0XZM21ACtjGqvNFB8bURj9a3t5YOhxMQl2Q-unzYWis59CIH3St4RnDFPKsnMWvtalsBjBClFn7cE1nIR2Tz7RS0c4xua1pB1F0hudATTDgE6N9IQqzuB0kNfrqL1zWVHZIL1mfGWxlqIaXKU=s0-d-e1-ft#https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11904675_971530912908980_5205937262880160537_n.jpg?oh=a979cd598292289a807c3e63c56ebe26&oe=56761299)
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Mangula atumia saa tisa kusawazisha CCM Mbeya Vijijini
9 years ago
Habarileo04 Oct
‘Ilani zinazotekelezeka zipo CCM’
MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kivukoni, Henry Massaba (CCM) amewataka Watanzania kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndicho pekee kinachotoa ilani zinazotekelezeka.