Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mangula atumia saa tisa kusawazisha CCM Mbeya Vijijini

Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula juzi alitumia saa tisa mfululizo kuzungumza na viongozi wa CCM Wilaya ya Mbeya Vijijini katika kuweka sawa mambo ambayo hayaendi vizuri kichama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MANGULA NA KINANA WAWASILI MKOANI MBEYA KWA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM

 Makamu Mwenyekiti wa CCM,Phillip Mangula akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Dk. Mary Mwanjelwa baada ya kuwasili leo asubuhi kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya , tayari akwa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM yatakayofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya Jumapili Februari 2. Kushoto ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.  Mangula (katikati) akiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa...

 

11 years ago

GPL

KINANA, MANGULA WAWASILI MBEYA KWA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM‏

Mangula (katikati) akiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya, Godfrey Zambi. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Phillip Mangula akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Dk. Mary Mwanjelwa baada ya kuwasili leo asubuhi kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya , tayari akwa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM yatakayofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula atumia makada sita kuwatisha wagombea

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula ametumia kifungo cha vigogo sita wanaowania urais ndani ya chama hicho kuwatisha viongozi wa chini wasijihusishe na kampeni kabla ya muda kufika.

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA 181 WA CCM MBEYA VIJIJINI WAPATIWA MAFUNZO.

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Aman Kajuna akiwa meza kuu pamoja na viongozi wengine Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mbeya vijijini Japhet Siulanga aitoa taarifa ya mafunzo. Mwenyekiti wa UVCCM, Wilaya ya Mbeya vijijini Msafiri Mwashambwa akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na washiriki wa mafunzo. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Mbeya Aman Kajuna akizungumza na vijana waliomaliza mafunzo. Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbeya vijijini, Ipyana Seme akizungumza jambo.Mwenyekiti wa Vijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda

>Kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, imeanza kusikilizwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro na shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Morogoro, Sadick Tindwa, ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kutoa ushahidi wake kwa zaidi ya saa mbili.

 

11 years ago

GPL

Welbeck anaswa akibanjuka saa tisa usiku

Danny Welbeck na rafiki yake wa kike. MANCHESTER, England
SIKU chache baada ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, wachezaji wa Manchester United, Danny Welbeck na Tom Cleverley wamenaswa wakitoka kwenye mida ya starehe saa tisa usiku huku wakiwa na marafiki zao.…

 

10 years ago

Vijimambo

Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika


Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani