Welbeck anaswa akibanjuka saa tisa usiku
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avR-AG1J5wxfVu1O62O7foT9MLFR4v3dnw9ZpOh4vhhlVlIOf*Ed9MIeF1J-ts7InbjuAZyDpjR7*k0FcHYgvfb/anaswa.jpg?width=600)
Danny Welbeck na rafiki yake wa kike. MANCHESTER, England SIKU chache baada ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, wachezaji wa Manchester United, Danny Welbeck na Tom Cleverley wamenaswa wakitoka kwenye mida ya starehe saa tisa usiku huku wakiwa na marafiki zao.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbRog78kShNuFvg6v*KMqFPMeguYPmXUvPBWNGvTBk48uyoEtFx847XFldTWGISzH5wXWX0bS*qxDIoa*BVxTpX/NetherlandsvsArgentina2014.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1FY2m*DFoxiAGsF906Yfl96CIaGYSuQGp3EHMo44XOLhSoxLZ8OZmDs0Xx8aT2cFXmT3Dm-xlPIyj3vkhHaVFqJrZLgFz5u/balo.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Mangula atumia saa tisa kusawazisha CCM Mbeya Vijijini
Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula juzi alitumia saa tisa mfululizo kuzungumza na viongozi wa CCM Wilaya ya Mbeya Vijijini katika kuweka sawa mambo ambayo hayaendi vizuri kichama.
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWmzBelkGZAY2ueFKNk1ujgPdRfGgAHO-GDNE6cAzroV6Ch7nHZMVRgZS-IthF4logA9pAv2v8nfPiVQ0OAbDt0T/444.jpg)
DULLY ANASWA NA TOTOZ KLABU YA USIKU!
Na RICHARD BUKOS/ijumaawikienda Kha! Hata kabla ya siku 40 baada ya kifo cha baba yake, Ebby Sykes aliyefariki wiki mbili zilizopita, legendary wa Bongo Fleva, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amenaswa klabu ya usiku akiwa na totoz za kumwaga hivyo kuibua minong’ono na mshangao ikidaiwa kwamba ni mapema mno kujirusha. Legendary wa Bongo Fleva, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ akiwa na totoz. Staa huyo wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania