Aunt Ezekiel adai wasambazaji wanaua soko la filamu Tanzania
Aunt Ezekiel amesema wasambazaji wa filamu ndio watu wanaoliua soko la filamu Tanzania. Akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV hivi karibuni, muigizaji huyo alisema msambazaji yupo tayari kununua kazi mbaya kwa bei ya chini na kuacha kununua kazi ambazo zimeandaliwa vizuri. “Msambazaji mhindi yaani sasa hivi amefikia hatua yupo radhi anunue kazi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Aunt Ezekiel: Soko la filamu linashuka
NYOTA wa filamu nchini, Aunt Ezekiel, amesema filamu za Tanzania zinaelekea pabaya kutokana na soko hilo kushuka kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Aunt alisema, ni wazi kulingana na tulipotoka,...
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3X8DkBaSEri4PU-wGi3xpc-SHT7uo1tqRol7A*HV-vA2ZKCYJRg5T9C8k8fl2bCblB*MT2ho95kgVAcpGxu-7uN/auntezekiel1.jpg)
AUNT EZEKIEL ADAI AMEZALIWA KISARAWE, SIYO CCM
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi
STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko...
11 years ago
Bongo Movies23 Jul
Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi.Sapoti ya waume au wapenzi ndio inasaidia.
STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko la filamu limeharibika.
“Filamu kwa Tanzania hakuna soko, walau wanaume, si wanawake, huwezi kunilinganisha mimi na Ray… Mimi kama si kuwa mwanamke, sidhani kama leo hii bado ningekuwepo katika filamu, kwa sababu kwa kiasi kikubwa nategemea sapoti ya wadau wangu, si mauzo ya filamu,” alisema.
Aunt alisema tatizo jingine katika...
10 years ago
GPLAUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARIFA ZA KUJIFUNGUA, ASEMA VIDEO YA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE
9 years ago
Bongo508 Oct
Dr Cheni adai soko la filamu limeyumba kutokana na tatizo la umeme!
10 years ago
GPLCHAMA CHA WASAMBAZAJI FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA