Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAMA CHA WASAMBAZAJI FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania, Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za Kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

9 years ago

Bongo5

Aunt Ezekiel adai wasambazaji wanaua soko la filamu Tanzania

Aunt Ezekiel amesema wasambazaji wa filamu ndio watu wanaoliua soko la filamu Tanzania. Akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV hivi karibuni, muigizaji huyo alisema msambazaji yupo tayari kununua kazi mbaya kwa bei ya chini na kuacha kununua kazi ambazo zimeandaliwa vizuri. “Msambazaji mhindi yaani sasa hivi amefikia hatua yupo radhi anunue kazi […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Wasambazaji wa Filamu za nje watakiwa kufuata sheria ya Ukaguzi wa Filamu!

PIX1a

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo juu ya Sheria ya Ukaguzi wa Filamu nchini kwa baadhi ya wawakilishi wa Wasambazaji wa Filamu za nje nchini wakati walipokutana ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.

Na: Frank Shija, WHVUM

[DAR ES SALAAM] Wasambazaji wa Filamu za nje wametakiwa kuwasilisha filamu wanazosambaza katika ofisi za Bodi ya Filamu kwa ajili ya ukaguzi mapema ifikapo tarehe 30 mezi huu.

Agizo hilo limetolewa na Katibu Mtendaji wa Bodi...

 

11 years ago

Habarileo

TRA kutoa TIN, stika za magari Sabasaba

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kutoa huduma za namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) kwa watu binafsi, na stika za ada ya magari kwa mwaka katika maonesho ya Sabasaba.

 

10 years ago

GPL

WASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU

Baadhi ya waandaji wa filamu, Chiki Mchoma (kushoto), Wastara  na Jimmy Mafufu. Msanii Bond bin Suleman akichangia hoja. KUFUATIA baadhi ya wadau kutangaza kushusha bei ya filamu  nchini, baadhi ya wasanii, wasambazaji na watayarishaji wamejikuta wakigawanyika huku wengine wakionekana kukubali na wengine kupinga kitendo hicho.
Leo… ...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA




Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org



 
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wasambazaji wa filamu kugoma kulipa kodi ifikapo 1/7/2015

Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania, Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani