AUNT KUFUNGA NUSU BONGO, DUBAI
Na Mayasa Mariwata STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amewaasa Waislamu wote kumrudia Mungu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama atakavyofanya yeye ambapo atauanzia mfungo Bongo na kumalizia Dubai. Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema ameamua kufunga Ramadhani nchini na kumalizia Dubai kama ishara ya kumkumbuka mumewe aishie Dubai. “Kama mnavyojua mume wangu yupo kule...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUSALITI WAMPAISHA AUNT DUBAI
11 years ago
GPLAUNT EZEKIEL AKIJIACHIA BEACH NDANI YA DUBAI
11 years ago
GPLAUNT EZEKIEL AKIRI MUMEWE KUKAMATWA DUBAI
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Pop Up Bongo kufunga mwaka
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la Pop Up Bongo linatarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii, ambapo litawakutanisha wasanii mbalimbali pamoja na wadau wa biashara.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Trinity, Oysterbay, Novemba 28, ambapo hufanyika kila baada ya miezi mitatu likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff.
Akizungumza kuhusiana na tamasha hilo, mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli, alisema kuwa milango itafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa mbili...
10 years ago
GPLAUNT, ODAMA WATIMULIWA BONGO MOVIE
10 years ago
Vijimambo20 Sep
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.
Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.
Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
10 years ago
MichuziBalozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...