Aunty Ezekiel na ajifungua mtoto wakike na amempa jina la Cookie.
![](http://img.youtube.com/vi/X0yr2VkXuzA/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 May
Aunty Ezekiel Ajifungua Mtoto wa Kike, Ampajina la ‘Cookie’
Staa wa Bongo Movies, Aunty Ezekiel amejifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis May 21. Mtoto huyo wa Aunty Ezekiel ambaye baba yake ni dancer wa Diamond aitwaye Mose Iyobo, amepewa jina la Cookie.
Aunty ameshare habari hiyo na mashabiki wake wa Instagram:
“Amin ktk Mungu ndio Mwisho wa Matatizo yote yaliyotuzunguka Hakuna mganga wala Mchawi pasipo Mungu.Ahsante Mungu wang kwa kunikabidhi zawadi yang Asubuhi jana tar 21-05-2015 Muache yy atende kwani ndio nguzo yetu sote Nasema Ahsante tena...
10 years ago
Bongo Movies28 May
Picha: Huyu Hapa ‘Cookie’ Mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo
Staa wa Bongo movies, Aunty Ezekiel ame ‘share’ nasi picha hii kwenye ukurasa wake mtandaoni akiwa na mzazi mwenzie, Mose Iyobo pamoja na mtoto wao waliompa jina la COOKIE
"La Family @cookie_la_princessa at hosp Sio kwa Ubusy huo looh! Watu na Cookie zao"-Aunty ameabika mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EjY-cw6rPzElGPsiTCNnBWpqwdNTV3RSRkkXHea5DfCXf1mXO0JPXfc3b*Mextn7epasWNUFkOlq*3njkQ6yAk*/AUNTTY134.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
9 years ago
GPL04 Sep
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Aunty Ezekiel: Ningetaka mtoto mweupe ningezaa na mzungu
NA JULIET MORI (TUDARCO)
MSANII wa Bongo Movie anayetambulika kwa jina la Aunty Ezekiel amewajia juu mashabiki wake wanaomuongelea vibaya mtoto aliyezaa na mnenguaji wa Diamond Platnumz, Mozee Iyobo.
Aunty Ezekiel aliandika katika mtandao wa jamii kwamba amesikitishwa na namna baadhi ya mashabiki wake wanavyong’ang’ania aweke picha ya mtoto wake anayetambulika kwa jina la Cookie.
“Kuweka uso wa mwanangu mtandaoni ni hiari yangu, msilazimishe, mwanangu ni mweusi sana au ana chongo siwezi...
9 years ago
GPLSIMULIZI YA MPOTO: MKEWE AJIFUNGUA, ASHINDWA KUMPA JINA MTOTO
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.