AUNTY: MIMBA HAIJANIBADILI TABIA
![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jIbSVNYRVv21yuW7krFTe6*6yBYHQxlWhrnmW6CmbtTgPmqstfhZhp2f8ZudhaKulKIm04d1PDv73qRObjk3HyS/aunty.jpg)
Na Laurent Samatta/Uwazi HUKU kukiwa na tabia kuwa baadhi ya wanawake wanapokuwa wajawazito wanakuwa na tabia za kusumbua na kubagua baadhi ya vitu, msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’, amesema kwa upande wake yuko vile vile na wala hajabadilika. Msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’. Akimwaga ‘ubuyu’ na Uwazi, Aunty alisema kuwa haoni kama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Jan
MIMBA HAIJANIBADILI TABIA
![](http://api.ning.com/files/P1afYajBhxAM*6*DHCIGP0HEsetnYgEImu0j9wkQSI97zssCa*4Fl3Do*F3RswlWzJU4nYa9uZxghbB9jQjDHpImv2CREXwL/IMG20150111WA0035.jpg?width=650)
Na Laurent Samatta/Uwazi HUKU kukiwa na tabia kuwa baadhi ya wanawake wanapokuwa wajawazito wanakuwa na tabia za kusumbua na kubagua baadhi ya vitu, msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’, amesema kwa upande wake yuko vile vile na wala hajabadilika.Akimwaga ‘ubuyu’ na Uwazi, Aunty alisema kuwa haoni kama amebadilika kitabia au kuwa msumbufu bali anajiona yupo kawaida ingawa mara nyingine anakuwa anachoka sana.
“Mimba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3R-hkVA5bIuhDO31jD6nw0YnjRTxyAkBg6Q17mP7a63WoBsYTzGI8E*7vuUA1MQ5rTX6eBVRUDRhzPxH4MACxXD/aunt.jpg?width=650)
KIPIGO CHACHOROPOA MIMBA YA AUNTY LULU
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Mimba ya Aunty Ezekiel Utata Mtupu!
Mwigizaji wa filamu hapa bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho
Kwa mujibu wa mtu wa karibu na mwigizaji huyo, amethibitisha kwamba ni kweli ujauzito wa Aunty sio wa mume wake ni wa dansa wa Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ aitwaye Moses Iyobo.
“Ni kweli ujauzito wa Aunty ni wa mpenzi wake na si mumewe. Unajua anatoka na Iyobo na wawili hao bado wanaonekana pamoja, hafanyi tena safari za...
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Nyalandu: mimba ya Aunty Ezekiel siyo yangu
Waziri wa maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu amefunguka kuhusiana na taarifa zilizoenea kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel na kwamba ujauzito alionao msanii huyo ni wa kwake.
Mh.Nyalandu amekanusha habari hizo kupitia kupindi cha leo tena cha Clouds Fm wakati alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa kipindi hicho Husna Abdul ambapo pia alikuwa ameambatana na mkewe Faraja Kota.
Aidha alisema kuwa habari hizo zilitolewa na gazeti moja la hapa nchini...
10 years ago
Bongo Movies29 Jan
Iyobo: Mimba ya Mpenzi Wangu Aunty ni Faraja Kwangu
Dansa mahiri wa staa wa muziki Bongo na nje ya nchi, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye Moses Iyobo, amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mimba ya mpenzi wake ambaye ni mwigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel.
Akizungumzia ujauzito wa mpenzi wake, Iyobo ambaye nyuma kidogo alipost picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kutoa pongezi kwa mpenzi wake huyo kwa kumbebea ujauzito, alisema kuwa hakuna kitu ambacho anaona fahari kama hicho.
“ Mimi tu nikiwaza mtu ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jIDSUhVQZyQ90t4w9j2Mp5MPcQzTuNjIjyuUkejHAnd0yLRh5qME37RxRVegBoAahX0OYtEDKzeW8wOH07tU5lv/viva.jpg)
VIVA ATAMBA MIMBA YAKE KUWA KAMA YA AUNTY
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Wakati Nyalandu Anakanusha Kuhusika na Mimba ya Aunty Ezekiel, Iyobo Nae Ana Haya..…
Baada ya hapo jana Waziri Lazaro Nyalandu kupitia Clouds FM kukanusha tuhuma zilizokuwa zimezagaa kwenye magazeti na mitandaoni za kuwa anachepuka na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Aunty Ezekiel na kusisitiza kuwa yeye sio muhusika wa ujauzito wa mwigizaji huyo, nikaamua kupitapita kwenye kurasa za mcheza shoo wa Diamond, Moses Iyobo ambae ndio anasemekana kuwa yeye ndio amempa ujauziko mwigizaji huyo.
Kwanza nilikutana na andiko la malalamiko kutoka kwa Iyobo, ambae alikuwa ameweka...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.