Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Australia haitawaruhusu Rohingya kuishi

Australia imeonya kuwa haitawaruhusu wakimbizi wa jamii ya waislamu wa Rohingya waliowasili nchini humo kwa mashua kuishi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mateso yawakabili wahamiaji wa Rohingya

Mwaandishi wa habari wa BBC katika eneo la baharini huko Andaman katika pwani ya Thailand ameshuhudia mateso makubwa wanayopitia wahamiaji.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Rohingya: 'Miili ilikuwa inarushwa baharini usiku'

Khadiza Begum, mkimbizi wa Rohingya, aliondoka Myanmar kukimbia ghasia lakini akakumbana na makubwa baharini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa

Taifa la Malaysia lililifurusha boti lililokuwa limebeba mamia ya wakimbizi wa Rohingya , likihofia maambukizi ya virusi vya corona .

 

10 years ago

Mwananchi

Kuishi na mke

Mke ndugu ukipata, bora wa ustarabu,  Daima sifanye vita, mpe nayo mahabubu, Usizulie matata, panapotokea matata, Mapambo mwadhibu mke.

 

11 years ago

Habarileo

Rais kuishi Chamwino

RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza kuwa Mji wa Serikali utajengwa katika Wilaya ya Chamwino ,mkoani Dodoma yatakapokuwa Makao ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Umri wa kuishi waongezeka

 Wastani wa umri wa kuishi kwa Watanzania umeongezeka kutoka miaka 50 kwa sensa iliyofanywa mwaka 1988 hadi kufikia miaka 61 kwa sensa ya mwaka 2012.

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIYEAMUA KUISHI NA SIMBA

Kipande cha filamu ya Roar kikimuonyesha Tippi Hedren mama wa, Melanie Griffith's akicheza na simba anayeitwa Neil. Melanie Griffith's akiwa amelala na Simba huyo kitandani mwake.…

 

11 years ago

Habarileo

Walimu kuishi kifalme Kigoma

KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Miriam Mbaga, alitangaza mbinu hizo jana wakati alipozungumza kwenye kikao cha maandalizi ya mapokezi hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani