Mateso yawakabili wahamiaji wa Rohingya
Mwaandishi wa habari wa BBC katika eneo la baharini huko Andaman katika pwani ya Thailand ameshuhudia mateso makubwa wanayopitia wahamiaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV20 Nov
Changamoto ya madawati yawakabili wanafunzi Misitu sekondari
Jumla ya Wanafunzi 364 kati ya wanafunzi 931 katika shule ya Sekondari Misitu iliyopo Kata ya Kivule wilayani Ilala jijini Dar es Salaam hawana madawati.
Ni wanafunzi 567 pekee ambao wanakaa kwenye madawati katika shule hiyo ambayo pia ina upungufu wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo na uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi.
Kilio cha wanafunzi hao kimekuja mara tu baada ya kupokea msaada wa kompyuta na Printa kutoka kwa mdau wa elimu ambaye amesema vifaa hivyo vitasaidia kuboresha elimu...
10 years ago
BBCSwahili21 May
Australia haitawaruhusu Rohingya kuishi
11 years ago
GPL
MATESO JUU YA MATESO
5 years ago
BBCSwahili30 May
Wakimbizi wa Rohingya: 'Miili ilikuwa inarushwa baharini usiku'
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa
10 years ago
Mtanzania05 May
Ni mateso
NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI
NI mateso. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya maelfu ya wananchi kukwama kusafiri, kutokana na madereva wa mabasi yaendayo mikoani kugoma jana.
Mbali ya mabasi yaendayo mikoani kugoma, jijini Dar es Salaam nako hali ilikuwa mbaya, baada ya madereva wa daladala nao kusitisha huduma ya usafirishaji.
Takwimu zinaonyesha karibu mabasi 300 hufanya safari kila siku kati ya Dar es Salaam, mikoani na na nchi jirani za Kenya, Uganda, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
11 years ago
GPL
MIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI
11 years ago
GPL
HAYA NI ZAIDI YA MATESO
10 years ago
GPL
DAVINA: SITASAHAU MATESO YA SEGEREA