Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu kuishi kifalme Kigoma

KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Miriam Mbaga, alitangaza mbinu hizo jana wakati alipozungumza kwenye kikao cha maandalizi ya mapokezi hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Utoro wa walimu, wanafunzi wakwamisha BRN Kigoma

WAKATI Serikali ikiwa katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa huku sekta ya elimu ikiwa ni moja ya sekta sita zinazotekeleza mpango huo imeelezwa kuwa utoro wa walimu na wanafunzi umeufanya mkoa Kigoma kushindwa kufikia malengo ya utekelezaji wa mpango huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sokwe wanaotunzwa kifalme Kenya

Je Umewahi kupata au kusikia Sokwe mtu wanaotunzwa kifalme?

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagwa kifalme Uholanzi

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete jana aliagwa kifalme katika ziara yake ya kikazi nchini Uholanzi, huku akielezea kwa kiasi kikubwa mafanikio ya utawala wake katika miaka kumi aliyokaa madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji avunja kanuni za kifalme

Mchezaji wa mpira wa vikapu LeBron James alivunja protokali au kanuni za maadili ya kifalme alipomshika mabegani Kate Middleton akiwa na majasho kwenye jezi lake

 

10 years ago

GPL

ALIYEIPONZA MISS TZ APOKEWA KIFALME MORO


Stori Dustan Shekidele, Morogoro/Ijumaa
MSHIRIKI wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014, aliyeshinda taji hilo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na baadaye kuthibitika kuwa alighushi umri na hivyo kulitema na kusababisha kufungiwa kwa shindano hilo, Sitti Mtemvu, juzikati alipokewa kama mfalme alipofanya ziara fupi mjini Morogoro. Mshiriki  wa Shindano la… ...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND APOKELEWA KIFALME JIJINI DAR

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Marekani alipotwaa tuzo tatu za Afrimma. Diamond akiwa na tuzo zake akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege. Diamond akianza safari ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chapendekeza kaya iwe ya kifalme

BAADA ya kushuhudia wanene wakishindana kurithisha vitegemezi vyao maulaji, Kijiwe kimekuja na pendekezo moja la kuwasaidia wasionekane wanafiki na waongo. Kinapendekeza tubadili Katiba na kutangaza kuwa kaya hii ni ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Museveni aruka kihunzi cha utawala wa kifalme

AGOSTI  28 mwaka huu rais wa Uganda Yoweri Museveni alimteua Muhoozi Kainerugaba  ambaye ni mwanawe kuwa Brigedia Jenerali na mkuu wa kikosi maalum cha kijeshi nchini humo. Uteuzi wa Brigedia ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fid Q, Young Killer kupokewa kifalme Mwanza

WASANII wa muziki wa hip hop wanaowakilisha Mwanza ‘Rock City’, Farid Kubanda ‘Fid Q’ na Erick Msodoki ‘Young Killer’, wanatarajiwa kupokelewa kifalme mkoani humo baada ya kuchukua tuzo za muziki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani