Kijiwe chapendekeza kaya iwe ya kifalme
BAADA ya kushuhudia wanene wakishindana kurithisha vitegemezi vyao maulaji, Kijiwe kimekuja na pendekezo moja la kuwasaidia wasionekane wanafiki na waongo. Kinapendekeza tubadili Katiba na kutangaza kuwa kaya hii ni ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Walimu kuishi kifalme Kigoma
KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Miriam Mbaga, alitangaza mbinu hizo jana wakati alipozungumza kwenye kikao cha maandalizi ya mapokezi hayo.
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kikwete aagwa kifalme Uholanzi
RAIS Jakaya Kikwete jana aliagwa kifalme katika ziara yake ya kikazi nchini Uholanzi, huku akielezea kwa kiasi kikubwa mafanikio ya utawala wake katika miaka kumi aliyokaa madarakani.
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mchezaji avunja kanuni za kifalme
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/yhCsS*vRHKg7pgM9fY-VPcxAxjqqdorke7b*w5vmF8dHp1ErHDN854oyE4sjhSwjcGaJeiKjuOlrbnMK8HND3brekC9-pE*h/sitt.jpg)
ALIYEIPONZA MISS TZ APOKEWA KIFALME MORO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Diamond-platinumz-3.jpg)
DIAMOND APOKELEWA KIFALME JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Fid Q, Young Killer kupokewa kifalme Mwanza
WASANII wa muziki wa hip hop wanaowakilisha Mwanza ‘Rock City’, Farid Kubanda ‘Fid Q’ na Erick Msodoki ‘Young Killer’, wanatarajiwa kupokelewa kifalme mkoani humo baada ya kuchukua tuzo za muziki...