Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Avril ni zaidi ya unavyomjua

Habari kubwa inayohusu wasanii wa kike kwa Afrika Mashariki kwa sasa inamhusu mwanadada Avril, hasa baada ya kuwaunganisha watayarishaji wa nchini mbili, Kenya na Tanzania na kutayarisha kazi moja inayokwenda kwa jina la ‘Hallo Baby’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SALMA MSANGI: KULIKO UNAVYOMJUA NA ULIVYOWAHI KUMSIKIA [INTERVIEW]

Maisha ni safari ya aina yake. Ndani ya safari moja, zipo nyingine nyingi. Pengine ukweli huo ndio chanzo cha ule usemi kwamba safari moja huanzisha nyingine. Kilicho muhimu ni kwanza kuianza safari yenyewe[moja].
Ninachokiongelea hapo juu kina ukweli zaidi katika maisha ya Salma Msangi ambaye leo kwa wengi ni mtangazaji wa luninga na radio mwenye tabasamu zito, wepesi wa kuelewa mazingira na mwenye kuipenda kazi yake na kuwapenda mashabiki,watazamaji wa vipindi vyake vya kwenye luninga...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Avril (Kenya) — Nikimuona

Sikiliza wimbo mpya wa msanii wa Kenya, Avril uitwao ‘Nikimuona’.

 

10 years ago

Vijimambo

NINGEFANYAJE-BEN POL FT AVRIL

The undisputed Tanzania's King of RnB is back with a Brand new RnB Ballad called Ningefanyaje to be release 24th September, 2015. This song features Kenya’s Sweetheart Avril and Tanzania’s upcoming songbird Rossie M. This project is produced by Mswaki.

Ben Pol has taken part in Coke Studio Season 3 which will be aired on 10th October, 2015 and Ningefanyaje is among the songs he performs with a live band of Coke Studio in Nairobi, Kenya. On Coke Studio Ben Pol is paired and collaborated with...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: AVRIL - NO STRESS ft. AY (Download)


No Stress Avril ft. Ay Free Download MP3 and Video
Avril is a Kenyan songstress who has been doing very well in the music industry east Africa. Some times ago, actually some years back, ay the hip hop star from Tanzania bongo had featured avril in the song Leo remix.This time round, avril Kenya has featured Ay in her song, named No Stress. The track has a 1980’s touch in the beat and its a really dancebal song, if I may say. Willy M. Tuva, the host of east Africa’s greatest show, mambo mseto...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Avril afikiria kuingia kwenye utangazaji wa TV

11934732_674761035993224_863885011_n

Muimbaji wa Kenya, Avril huenda siku za usoni akaonekana kwenye screen yako akiendesha kipindi cha TV.

12145175_686805931419572_2121712968_n

Avril ameiambia Word Is ya gazeti la The Star la Kenya kuwa amekuwa akifuatwa na watu wengi wanaompa ofa ya kufanya talk show lakini bado hajazitilia maanani.

Yeye mwenyewe pia amesema kwa muda mrefu amekuwa akivutiwa kuendesha kipindi cha TV na kuna uwezekano wa kufanya hivyo siku za usoni.

“Ingawa muziki ni kitu ninachokipenda zaidi, nimewahi kupenda televisheni pia. Labda siku za usoni...

 

10 years ago

Mtanzania

Avril ndiye mvaaji bora Kenya

Avril1 Judith Nyambura MwangiNAIROBI, Kenya

MSANII wa muziki nchini Kenya, Judith Mwangi ‘Avril’, wiki iliyopita ameshinda tuzo ya msanii bora anayejua kuvaa vizuri kwa upande wa wanawake.

Tuzo hizo ziliandaliwa na kampuni ya Jumia Kenya Glamour ya nchini humo ambayo imemuwezesha kuwashinda wasanii wa kike wote nchini humo.

“Nashukuru kupata tuzo hiyo, ninaamini kuwa watu wananitazama na ndiyo maana nimepewa tuzo hiyo, huu ni wakati wa watu kujifunza kutoka kwangu,” alisema Avril.

 

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani