Avril ndiye mvaaji bora Kenya
NAIROBI, Kenya
MSANII wa muziki nchini Kenya, Judith Mwangi ‘Avril’, wiki iliyopita ameshinda tuzo ya msanii bora anayejua kuvaa vizuri kwa upande wa wanawake.
Tuzo hizo ziliandaliwa na kampuni ya Jumia Kenya Glamour ya nchini humo ambayo imemuwezesha kuwashinda wasanii wa kike wote nchini humo.
“Nashukuru kupata tuzo hiyo, ninaamini kuwa watu wananitazama na ndiyo maana nimepewa tuzo hiyo, huu ni wakati wa watu kujifunza kutoka kwangu,” alisema Avril.
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
10 years ago
Bongo503 Nov
New Music: Avril (Kenya) — Nikimuona
9 years ago
Bongo514 Sep
Ben Pol na Avril wa Kenya kuja na collabo!
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Ronaldo Ajigamba ndiye mchezaji bora
11 years ago
BBCSwahili02 Dec
10 years ago
Bongo505 Mar
Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL
10 years ago
BBCSwahili09 May
Tim Sherwood:'Benteke ndiye bora Ulaya'
9 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Avril wa Kenya na kivazi cha mitego kilichomuweka kwenye ‘headlines’ weeked iliyopita