Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY awachukua Hermy B na Marco Chali kwenye mradi mpya

AY amewachukua Hermy B na Marco Chali kutengeneza ngoma yake mpya. AY akiwa studio na producer wa B’Hits, Hermy B na producer wa MJ Records, Marco Chali AY ameshare picha hiyo juu akiwa studio na watayarishaji hao wakubwa nchini wanaowakilisha studio maarufu zaidi, Hermy B wa B’Hits na Marco Chali wa MJ Records. Hiyo itakuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Linex alia na Marco Chali

MSANII mwenye sauti ya pekee, Sunday Mangu ‘Linex’ au ‘Leka Maker’, amemlalamikia mtayarishaji wa muziki, Marco Chali kupitia studio ya Kama Kawa Production, kwa kusambaza wimbo wake unaojulikana kwa jina...

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA

12120321_1140272202668159_944774289_n

Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.

12120321_1140272202668159_944774289_n

Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:

Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J

— Hermy B (@HermyB1)...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’

Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi DART wapata nguvu mpya

MRADI wa mabasi yaendayo haraka umepiga hatua nyingine baada ya kupatikana kampuni ya washauri itakayofanya kazi ya kupatikana watoa huduma muhimu kwa mradi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani