Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkasi | SO9E18 With Hermy B

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA

12120321_1140272202668159_944774289_n

Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.

12120321_1140272202668159_944774289_n

Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:

Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J

— Hermy B (@HermyB1)...

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’

FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.

Hermy B...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mwana FA aeleza alivyorudisha uswahiba wake na Hermy B

12357603_1543644989260447_736222952_n

Mwana FA na Hermy B walirejea tena mwishoni kabisa mwa mwaka jana na kuungana pamoja kutayarisha wimbo ‘Asanteni kwa Kuja.’

Hiyo ilikuwa ni baada ya takriban miaka miwili waliyokaa bila kufanya kazi.

“Unajua kuna wakati mwingine haijalishi wewe na mimi hatuko poa lakini mnajikuta mko katika eneo moja pengine kwenye maisha yenu ya kila siku, starehe, kazi ama nini,” amesema FA kuhusu walivyopatana tena na mtayarishaji huyo.

“Na tukagundua kwamba in personal level hakukuwa na tatizo,...

 

9 years ago

Bongo5

AY awachukua Hermy B na Marco Chali kwenye mradi mpya

AY amewachukua Hermy B na Marco Chali kutengeneza ngoma yake mpya. AY akiwa studio na producer wa B’Hits, Hermy B na producer wa MJ Records, Marco Chali AY ameshare picha hiyo juu akiwa studio na watayarishaji hao wakubwa nchini wanaowakilisha studio maarufu zaidi, Hermy B wa B’Hits na Marco Chali wa MJ Records. Hiyo itakuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Huyu ndiye aliyesaidia kurejea kwa urafiki wa Hermy B na AY & FA

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hermy B na Mwana FA wameingia tena studio baada ya miaka mingi kutofanya hivyo na kuachia wimbo mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hivi karibuni pia AY na Hermy B wamekuwa karibu zaidi kama ilivyokuwa zamani baada ya kutokea kutokuelewana mwaka 2012 kulikodumu kwa miaka miwili.

Hata hivyo Mwana FA jana alimtaja mtu aliyesaidia kuwapatanisha. Ni Josh Murunga, producer wa kipindi cha Mkasi.

Akiongea kwenye XXL ya Clouds FM, FA alisema Josh aliwasihi maswahiba hao kuziacha tofauti zao na warejeshe...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Hermy B awataja Fid Q, Professor Jay na Mwana FA kuwa ndio waandishi bora Tanzania

Producer na CEO wa B’Hits Music Group, Hermy B, amewataja Fareed Kubanda aka Fid, Joseph Haule aka Professor Jay na Hamis Mwinjuma aka Mwana FA kuwa ndio waandishi bora wa mashairi Tanzania. Hermy aliwataja rappers hao kwenye kipindi cha Mkasi baada ya kuulizwa na Salama Jabir ni wasanii gani anaowakubali zaidi kwa uandishi wao. Mtazame […]

 

9 years ago

MillardAyo

TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo…

Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.   Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]

The post TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo… appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani