Huyu ndiye aliyesaidia kurejea kwa urafiki wa Hermy B na AY & FA
Hermy B na Mwana FA wameingia tena studio baada ya miaka mingi kutofanya hivyo na kuachia wimbo mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’
Hivi karibuni pia AY na Hermy B wamekuwa karibu zaidi kama ilivyokuwa zamani baada ya kutokea kutokuelewana mwaka 2012 kulikodumu kwa miaka miwili.
Hata hivyo Mwana FA jana alimtaja mtu aliyesaidia kuwapatanisha. Ni Josh Murunga, producer wa kipindi cha Mkasi.
Akiongea kwenye XXL ya Clouds FM, FA alisema Josh aliwasihi maswahiba hao kuziacha tofauti zao na warejeshe...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aU4j4N5Xa8A/VIgE3hvIwQI/AAAAAAAABFA/lV44-qrHwgM/s72-c/abuja6.jpg)
BALAAA! HUYU NDIYE MDADA ANAYEAMBUKIZA UKIMWI KWA MAKUSUDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aU4j4N5Xa8A/VIgE3hvIwQI/AAAAAAAABFA/lV44-qrHwgM/s640/abuja6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6wLD2orQZLk/default.jpg)
11 years ago
CloudsFM29 May
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA MINNE NA MAMA YAKE MLEZI ILI ASIMWAMBUKIZE VIRUSI VYA UKIMWI
Mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Wakizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqeTr76kwCCx4tCbh29Rve37-*mEcNt6DR57aRDtBB6KnIy5Jh71g7KcDkqtR0xZi6OE60kf9b6Dr53AGOFLnlv/dimpoz.jpg)
HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ WA KITAMBO!