Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huyu ndiye Pierre Nkurunziza kwa mprira wa miguu ni balaa

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

5 years ago

CCM Blog

PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO

Pierre NkurunzizaCHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGESMwili wa aliyekuwa rais wa Burundi hayati Pierre Nkurunziza unazikwa leo kwenye makaburi ya mji wa Gitega ,mji mkuu wa kisiasa ulioko katikati mwa BurundiHafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.Hayati Nkurunziza alifariki dunia tarehe 8 mwezi huu ,miezi miwili kabla ya kukabidhi madaraka kwa mrithi wake kufwatia uchaguzi uliofanyika mwezi wa tano.Kwa mjibu wa tangazo lililotolewa na serikali...

 

10 years ago

GPL

PIERRE NKURUNZIZA AREJEA NYUMBANI

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza akirejea nchini mwake baada kushindikana kwa jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake alipokuwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa EAC. Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki waliokuwa wakijadili mgogoro wa Burundi. Maafisa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani

Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

BALAAA! HUYU NDIYE MDADA ANAYEAMBUKIZA UKIMWI KWA MAKUSUDI

Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa...

 

9 years ago

Bongo5

Huyu ndiye aliyesaidia kurejea kwa urafiki wa Hermy B na AY & FA

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hermy B na Mwana FA wameingia tena studio baada ya miaka mingi kutofanya hivyo na kuachia wimbo mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hivi karibuni pia AY na Hermy B wamekuwa karibu zaidi kama ilivyokuwa zamani baada ya kutokea kutokuelewana mwaka 2012 kulikodumu kwa miaka miwili.

Hata hivyo Mwana FA jana alimtaja mtu aliyesaidia kuwapatanisha. Ni Josh Murunga, producer wa kipindi cha Mkasi.

Akiongea kwenye XXL ya Clouds FM, FA alisema Josh aliwasihi maswahiba hao kuziacha tofauti zao na warejeshe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Pierre Nkurunziza hatagombea tena

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba baada ya muhula huu wa tatu hatagombea tena..

 

10 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza ruksa kuwania urais

Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Pierre Nkurunziza yuko wapi?

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, inasemekana ameondoka nchini Tanzania saa moja baada ya kupatikana taarifa za kupinduliwa kwake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani