Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, Ashanti Utd kupima ‘tiketi za umeme’ Ligi Kuu

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza mechi mbili za majaribio ya mfumo wa uuzaji tiketi za kielektroniki unaotarajiwa kutumika kuanzia mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom utakaoanza kutimua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ununuzi tiketi mechi Ligi Kuu kudhibitiwa

ZIKISALIA wiki chache kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya soka Tanzania bara, Benki ya CRDB imesema chini ya mfumo mpya wa elektroniki, idadi ya mwisho ya kununua tiketi kwa...

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.

Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u

shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.

Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.

Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.

katika matokeo mengine

Everton 0 – 2 Sunderland

Aston Villa 1 – 0 West...

 

10 years ago

GPL

MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND

Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani