Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, Yanga SC kuendeleza libeneke

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

VITA ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya Yanga na Azam inatarajiwa kuendelea tena leo, pale timu hizo zitakapoteremka kwenye viwanja tofauti kusaka pointi tatu.

Yanga, ambao ni vinara wakiwa na pointi 40, watakuwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini hapa, wakivaana na Wagosi wa Kaya, Coastal Union, mchezo unaotarajia kuwa mkali na wa aina yake.

Mabingwa watetezi wa ligi, Azam FC, wenye pointi 36, wataikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam na Yanga zinamatumaini

Baada ya kuanza vema mechi zao za michuano ya vilabu barani Afrika, makocha wa wawakilishi wa Tanzania, Azam FC na Yanga wamesema wana matumaini ya kusonga mbele.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam ni kifo

YANGA leo inaikaribisha Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaoamua nani akalie kiti cha uongozi wa ligi hiyo inayoshirikisha jumla ya timu 16.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.  Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo. Kikosi cha Azam FC.

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam TV waelewana

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wamemaliza tofauti zake na kituo cha runinga cha Azam na sasa iko tayari kupokea fedha za udhamini kwa haki za matangazo kutoka kwa wadhamini hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani