Azimio la kulinda miundombinu baharini lafikishwa bungeni
SERIKALI imewasilisha bungeni Azimio la Bunge kuridhia Itifaki ya Uzuiaji wa Vitendo Haramu dhidi ya Usalama wa Miundombinu ya Kudumu iliyojengwa chini ya Bahari (SUA) ya mwaka 1988.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Serikali yajipanga kulinda miundombinu ya gesi
10 years ago
Mwananchi24 Oct
DART ibuni mbinu kulinda miundombinu yake
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Maadhimisho ya wiki ya maji mkoa wa Dar yazinduliwa rasmi,wananchi watakiwa kulinda na kutunza miundombinu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Maji mkoani Dar es salaam.
Na Aron Msigwa, MAELEZO
Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Wiki ya maji kuanzia tarehe 16 hadi 22, Machi 2015 chini ya Kauli Mbiu isemayo Maji kwa Maendeleo Endelevu.
Maadhimisho ya mwaka huu yanatoa fursa kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi wa Maji nchini kutathmini huduma wanayoitoa kwa wananchi, kujenga na kuimarisha miundombinu iliyopo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zPBSWbl4OoA/VQfST8CbpkI/AAAAAAAHK4c/WWCEFQ0dHg0/s72-c/Picha%2Bna%2B2..jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDULIWA RASMI,WANANCHI WATAKIWA KULINDA NA KUTUNZA MIUNDOMBINU
![](http://3.bp.blogspot.com/-zPBSWbl4OoA/VQfST8CbpkI/AAAAAAAHK4c/WWCEFQ0dHg0/s1600/Picha%2Bna%2B2..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nl6z7azVHaw/VQfSTxLvEYI/AAAAAAAHK4s/occmHNNo4xE/s1600/Picha%2Bna%2B3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E-eiwesnIS3e3vHtdBJiV-KXKz52BbaF45dAUQVu1iISGcrv6TPlIZUz*woc7Czza6ClpFPs1Rg29C5RffvRTr2COjeGHity/Pichana1..jpg?width=650)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDULIWA RASMI,WANANCHI WATAKIWA KULINDA NA KUTUNZA MIUNDOMBINU.
11 years ago
CloudsFM14 Jul
SAKATA LA CHIDI BENZ KUMSHUSHIA KICHAPO RAY C LAFIKISHWA POLISI
Msanii wa Bongo flava Rashid Makwiro ‘Chidi benz’ hivi karibuni aliandikwa kwenye mtandao wa global publishers kuwa usiku wa kuamkia siku ya Alhamisi iliyopita alidaiwa kumshushia kichapo cha nguvu msanii mwenzake Rehema Chalamila’Ray C’ nyumbani kwa msanii huyo,suala la hilo limefikishwa polisi.
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Bunge latoa Azimio
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juzi lilisitisha shughuli zake na kutoa Azimio kutokana na kifo cha Mandela, kwa kumuenzi kwa kudumisha umoja, amani, mshikamano ili kuleta maendeleo.