SAKATA LA CHIDI BENZ KUMSHUSHIA KICHAPO RAY C LAFIKISHWA POLISI
Msanii wa Bongo flava Rashid Makwiro ‘Chidi benz’ hivi karibuni aliandikwa kwenye mtandao wa global publishers kuwa usiku wa kuamkia siku ya Alhamisi iliyopita alidaiwa kumshushia kichapo cha nguvu msanii mwenzake Rehema Chalamila’Ray C’ nyumbani kwa msanii huyo,suala la hilo limefikishwa polisi.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh5.ggpht.com/-bFei-3tTEZc/VE5uKIvmy6I/AAAAAAAAeaU/GkgMYDaCno8/s72-c/ray-c-667x444.jpg)
ALICHOKISEMA RAY C KUHUSU KUKAMATWA KWA CHIDI BENZ NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://lh5.ggpht.com/-bFei-3tTEZc/VE5uKIvmy6I/AAAAAAAAeaU/GkgMYDaCno8/s640/ray-c-667x444.jpg)
kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba
unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia...
10 years ago
Bongo525 Oct
Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo504 Dec
Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
10 years ago
Bongo511 Nov
‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo