BAADA YA HUKUMU YA MAHAKAMA KUU, MASUALA SABA YA MUHIMU; UCHAGUZI HURU NA HAKI NCHINI
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â KUHUSU BAADA YA HUKUMU YA MAHAKAMA KUU, MASUALA SABA YA MUHIMU; UCHAGUZI HURU NA HAKI NCHINI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepanua wigo wa mjadala wa uhitaji wa taasisi na mifumo itakayohakikisha nchi inafanya chaguzi huru na haki kwa kuitaka Serikali
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL06 Jan
KUTOKA MAHAKAMA KUU BAADA YA HUKUMU YA PINGAMIZI LA ZITTO KUAIRISHWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c4nqYXJtDZ4/XrEmGjmkc2I/AAAAAAALpMM/y0uZDoFJLNQkVJOAVHGLxytb8lLpPvqLACLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakama-Kuu-2-MUDA-HUU.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
11 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA NJE YA MAHAKAMA KUU DAR KABLA YA HUKUMU YA ZITTO
9 years ago
StarTV26 Nov
Mahakama kuu Mwanza yatarajiwa kutoa hukumu Leo kuhusu Mwili Wa Mawazo
Mahakama kuu kanda ya Mwanza leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi namba 11 ya mwaka 2015 ambayo ni kesi ya polisi dhidi ya Charles Lugwiko baba mdogo wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema mkoa wa Geita Alphonce Mawazo.
Kesi hiyo ilifunguliwa mahakamani hapo kuiomba mahakama iwapatie haki zote za maziko ndugu wa marehemu waishio Mwanza kutokana na jeshi la polisi kuzuia msiba huo kufanyikia Mwanza kutokana na uwepo wa Ugonjwa wa kipindupindu.
Mapema jana majira...
10 years ago
GPLMAHAKAMA KUU YAMUACHIA HURU SHEIKH PONDA LEO
10 years ago
Habarileo23 Jun
‘Uchaguzi Mkuu kuwa huru, haki’
SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utakuwa huru na wa haki, kwa sababu imejipanga kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu za kupiga kura zinawekwa wazi na kufuatwa na kila mtu.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Shein aahidi uchaguzi huru na wa haki
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza kuwa uchaguzi unaofanyika leo utakuwa huru, haki na wenye utulivu na kuwahakikishia washirika wa maendeleo, likiwemo Shirika la Misaada la Uingereza (DFID) kuwa Zanzibar itaendelea kuwa na amani kwani ndio msingi wa maendeleo.