Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya matoke bado hala hala madukani london...

Mandhari ya Jiji la London lenye wakazi milioni nane ni ya mvua mvua zisizokwisha na baridi baridi. Leo kuna kajua mshenzi. Nimefika dukani kununua matoke. Ndizi za nadra kupatikana mjini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Matoke na hala hala za mitaani london ...

Mbele yangu anatembea jamaa wa Kizungu aliyevalia fulana nyeupe na kaptula ndefu nyeusi iliyoishia chini kidogo ya magoti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vyakula vya kiasili: Matoke

Vyakula vya nyumbani vinapendwa na watu wengi wanaoishi mataifa ya nje, na ni moja ya biashara inayoleta faida kwa wanaoifanya.

 

11 years ago

GPL

AFARIKI BAADA YA KUANGUKA KATIKA JENGO LA BENKI JIJINI LONDON

Sehemu ya juu ya jengo la benki ya PJ Morgan (iliyozungushiwa mduara mwekundu) ambayo mtu huyo anasemekana alijirusha na kuangukia sehemu ya chini (yenye mduara) na kufa. Eneo la jumla la sehemu lilipotokea tukio hilo. (Picha: David Price) MTU mmoja mwenye umri wa miaka 39, amefariki leo asubuhi majira ya saa mbili baada ya kuanguka kutoka jengo la makao makuu ya… ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Baada ya Yote, Faiza Kathibitisha Bado Anampenda ‘Sugu’

Aliyekuwa mpenzi  wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi, Faiza Ally ameamua kuweka wazi kuwa japokuwa wamegombana na mzazi mwenzake  lakini bado anampenda na kumthamini.

Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika

“Alie kwambia simpendi nani ???? Nampenda ndio maana nili zaa nae  na sio lazima nilale nae na kuamka nae ndio mjue nampenda – unaweza unampenda mtu kwa mbali na bado ukasimama kwenye ukweli tu – kwa mimi that’s true love – oh yes...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London

Polisi walivamiwa na waandamanaji, ambao wengine walikuwa wanaharakati wa mrengo wa kulia baada ya maelfu yao waliokuwa wamekusanyika kusema kuwa wanalinda masanamu yasiharibiwe.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!

Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya  mwaka jana kwa kuvaa  Diaper  wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka  na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.

“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika

Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 96 ya mikate madukani haina ubora

Chakula anachokula mtu lazima kiwe na muda wa matumizi. Kutokuwa na tarehe ya ukomo wa kutumika ni kukiuka haki ya mlaji. Kama hiyo haitoshi ni lazima kiandaliwe katika mazingira mazuri na kukidhi viwango vya matumizi kwa mujibu wa sheria za nchi.

 

10 years ago

Bongo5

Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui

Mtoto wa kike wa marehemu, Whitney Houston, Bobbi Kristina yupo mahututi na ubongo wake umedaiwa kushindwa kufanya kazi. Madaktari wamedai kuwa hiyo si dalili nzuri. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ uso wake ukiwa kwenye maji Jumamosi iliyopita na alikuwa hapumui. Alizinduka na kupelekwa hospitali ambako amelazwa kwenye wodi ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani