Matoke na hala hala za mitaani london ...
Mbele yangu anatembea jamaa wa Kizungu aliyevalia fulana nyeupe na kaptula ndefu nyeusi iliyoishia chini kidogo ya magoti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 May
Baada ya matoke bado hala hala madukani london...
Mandhari ya Jiji la London lenye wakazi milioni nane ni ya mvua mvua zisizokwisha na baridi baridi. Leo kuna kajua mshenzi. Nimefika dukani kununua matoke. Ndizi za nadra kupatikana mjini.
11 years ago
Mwananchi25 May
Maisha ya kulea watoto na heka heka nyingine mitaani london
Moja ya mambo mazuri, makubwa yaliyofanywa na viongozi wa sasa Tanzania ni jitihada zake Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kurekebisha usafiri jijini Dar es Salaam. Siyo tu kwamba Dk Mwakyembe na wizara yake walifufua usafiri wa magari moshi jijini, bali pia wamesaidia ajira kwa mamia ya vijana.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Vyakula vya kiasili: Matoke
Vyakula vya nyumbani vinapendwa na watu wengi wanaoishi mataifa ya nje, na ni moja ya biashara inayoleta faida kwa wanaoifanya.
10 years ago
TheCitizen10 Oct
A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania
>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.
9 years ago
TheCitizen27 Nov
A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street
It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!â€
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu anaitwa Fab Moses.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
“Kenya and Friends in the Park†– yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Tusiwanyanyapae watoto wa mitaani
HIVI sasa kuna wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ambao hawana uangalizi kama walivyo watoto wengine. Ni fursa sasa kwa jamii kujiuliza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
19-February-2025 in Tanzania