Baada ya Watu Kuponda, Huu Ndio Msimamo wa Wolper Kuhusu Kipini Chake Puani
“Wapenzi mnaotukana kisa nimevaa kipini kwa pua msipoteze muda hiko akitoki ndo kimeshafika zaidi nitakua tuu na badilisha leo cha njano kesho chekundu, why mnakua wagumu kuelewa kinipendeze kisinipendeze ni mimi so please msinijazie comment za zamatusi nakukosoa kwenye picha zangu kama nyie ndo wavaaji sitaki ushauri sitaki jamani pipo chilaaax me nakipini dam dam... in love with my kipini najikuta jacq khan mwenzenu kila nikijitizama....Am so soleee. Nawapenda sana napenda ushauri...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wolper: Kipini Puani Kimenijazi Inzi Mtandaoni, Wakati Kinaniingizia Hela!
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameyasema hayo baada ya hapo jana baadhi ya mashabiki mtandaoni kumshambulia mara baada ya kubandika picha akiwa na kipini puani.
“Ewe kipini....kipini kipuli kipuli...kiheren kihereni umenijazia inzi kwenye akauni yangu yangu lakini kipini nivumilie nimalize hii Movie na we utapumzika lakini kipini nilivyokuhusudu naunaendana na kabila la Mama yangu upande wa bibi mza mama Masai basi nitakufkria eidha uwe ndonya yangu yakudumu au nitakutoa lakini...
11 years ago
Bongo505 Jul
Vanessa Mdee adai aliachia ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya watu kuponda ushindi wake wa KTMA
10 years ago
Bongo Movies21 Mar
Ubuyu Kuhusu Wolper Kumpiga Mizinga Bwana wa Wastara Huu Hapa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper amedaiwa kuwa na tabia ya kumpiga mizinga (kuomba fedha) mume mtarajiwa wa mwigizaji Wastara Juma, Mark Edi.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi, chanzo chao makini makini kilicho karibu na Mark ambaye ni mfanyabiashara mwenye maduka ya nguo jijini Dar, kilidokeza kuwa, kabla ya kuanzisha uhusiano na Wastara, Mark alikuwa na uhusiano na Wolper lakini alimshindwa kutokana na tabia hiyo ya kupiga mizinga.
“Yaani Wolper ni balaa, anampiga sana...
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Huu Ndio Mchango wa Lulu Baada ya Kuguswa na Maswahibu Anayopitia Msanii Mabeste
“Dah...Nimeguswa sana Sana na Story na huyu kaka....
Nadhani wengi wetu tunamjua au tumeshawahi kumsikia....anaitwa MABESTE ni mwanamziki..!
Kwanza,naweza kusema ni mwanaume wa aina yake...mwenye mapenzi ya Kweli kwa mke wake na familia yake....kwa umaarufu angeweza kumuacha mkewe anauguzwa hata na familia yake,angeweza kuleta kujulikana katika ndoa yake,angeweza kumuacha mkewe anateseka na akatafuta mwanamke mwingine wa Kuwa nae.
Lakini badala yake ameonyesha moyo wa upendo na...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Baada ya Diamond Kuponda, Wema Sepetu ‘Amsapoti’ Kiba
Kitoka Mitandaoni: Baada ya hapo juzi Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnum kupitia ukurasa wake mtandaoni kutoa lawama juu ya uteuzi wa vipengele wa tuzo za muziki za Kilimanjaro Music Awards za mwaka huu na pia kueleza kuwa yeye hata hamasisha watu wampigia kura yapo kuwa ametajwa kuwania vipengere vingi zaidi kwenye tuzo hizo, hali ni tofauti kwa upande wa pili ambapo Staa wa Bongo Movies Wema Sepetu na team yake wamekuwa mstari wa mbele kumpigia debe Ali Kiba ili watu wampigia kura ili...
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Haya Ndio Maelezo ya JB Kuhusu Watu Wanaotaka Kuigiza Naye
Habari,mara nyingi nimekuwa nikipokea maombi ya watu kutaka kuigiza, jamani kuna team ya ma director ndio wanafanya kazi hii sio mimi, na hawawezi kukuchagua kwa kusema tu, mpaka wakuone ukiigiza mahali nawavutiwe.
Please anza hata kwenye tamthilia.naamini wapo waigizaji wengi wenye vipaji lakini ni lazima uanzie sehemu kabla ya kufika kwetu.asante. JB ameandika haya kwenye ukurasa mtandaoni.
11 years ago
Bongo530 Jul
Huu ndio ukweli kuhusu picha za Dayna na Nando zilizozua maswali mengi, kama ni mapenzi au kazi!