Huu Ndio Mchango wa Lulu Baada ya Kuguswa na Maswahibu Anayopitia Msanii Mabeste
“Dah...Nimeguswa sana Sana na Story na huyu kaka....
Nadhani wengi wetu tunamjua au tumeshawahi kumsikia....anaitwa MABESTE ni mwanamziki..!
Kwanza,naweza kusema ni mwanaume wa aina yake...mwenye mapenzi ya Kweli kwa mke wake na familia yake....kwa umaarufu angeweza kumuacha mkewe anauguzwa hata na familia yake,angeweza kuleta kujulikana katika ndoa yake,angeweza kumuacha mkewe anateseka na akatafuta mwanamke mwingine wa Kuwa nae.
Lakini badala yake ameonyesha moyo wa upendo na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
Picha: Huyu ndio msanii wa Kenya aliyemshirikisha Diamond baada ya Victoria Kimani
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Baada ya Watu Kuponda, Huu Ndio Msimamo wa Wolper Kuhusu Kipini Chake Puani
“Wapenzi mnaotukana kisa nimevaa kipini kwa pua msipoteze muda hiko akitoki ndo kimeshafika zaidi nitakua tuu na badilisha leo cha njano kesho chekundu, why mnakua wagumu kuelewa kinipendeze kisinipendeze ni mimi so please msinijazie comment za zamatusi nakukosoa kwenye picha zangu kama nyie ndo wavaaji sitaki ushauri sitaki jamani pipo chilaaax me nakipini dam dam... in love with my kipini najikuta jacq khan mwenzenu kila nikijitizama....Am so soleee. Nawapenda sana napenda ushauri...
10 years ago
CloudsFM26 Sep
MSANII MABESTE KUFUNGA NDOA 'SOON'
MSANII wa Hip Hop Bongo,Mabeste anatajia kufunga ndoa hivi karibuni na mpenzi wake wa siku nyingi ambaye amezaa naye mtoto mmoja aitwaye Kendrick.
Kupitia mtandao wa Instagram Mabeste aliandika hivi:Wow..we are getting married soon..Mama Ken Nishike mkono nipeleke high level..Sayari nyingine juu bye devil.…
9 years ago
Vijimambo12 Oct
MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.
![](http://www.kwanzaproduction.com/wp-content/uploads/2014/09/cooltext1706975807.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QoBgEY8dCRo/XvISt8MpjEI/AAAAAAALvFU/-s_LcfS1xz4JtzqVuMmWa2FXlQQnR1VPgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-17-2048x1484.jpg)
Dkt.Mwakyembe: SADC Inatambua Mchango wa Wanahabari wa Ukanda Huu wa Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-QoBgEY8dCRo/XvISt8MpjEI/AAAAAAALvFU/-s_LcfS1xz4JtzqVuMmWa2FXlQQnR1VPgCLcBGAsYHQ/s640/5-17-2048x1484.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1B-1-scaled.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akifuatilia nyimbo za taifa kutoka Tanzania na Nchi wanachama wa SADC muda mfupi kabla ya kufugua Mkutano huo uliofanyika kwa njia ya video ...
10 years ago
Bongo521 Dec
Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza