Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADHI YA MAKABILA YA TANZANIA NA TABIA ZA NDANI JITIRIRISHE HAPA




Jitirirshe hapa chini juu ya tabia za baadhi ya makabila kama ukioa au kuolewa.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA

Kwa wanamichezo ni kama kumpa moyo mchezaji mwenzie au kama pongezi.Hapa ni rais Bush akimpongeza mchezaji wa timu ya taifa ya volleyball ya Marekani.Hapa ni kocha wa timu ya taifa ya CameroonBeki wa Mbeya City Juma Nyosso.Na Waandishi WetuSIKU moja baada ya Gazeti la Championi kutoa picha ya beki wa Mbeya City, Juma Nyosso akionekana kumfanyia ndivyo sivyo straika wa Simba, Elias Maguri, makubwa yameibuka.

Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE

Habari ndiyo hii ((The Fruit of Education are Sweet )) kazi kwako ujumbe umefika huo tena live bila chenga.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

MJUE MAKONGORO NYERERE JITIRIRISHE HAPA CHINI


Moses Ng’wat, Mbeya
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.Makongoro ambaye mwaka...

 

10 years ago

Vijimambo

FID Q KAPEWA TUNZO HII HAPA JITIRIRISHE


Good news ninayokusogezea ni hii inamuhusu rapper Fareed Kubanda ambaye leo hii amekabidhiwa tuzo ya Champion of the 2015 European year for development in Tanzaniakutoka umoja wa nchi za Ulaya.Akiongea kwenye Amplifaya:..’Tarehe hii ya leo ambayo ni 17 machi ikiwa siku ya Jumanne nina furaha sana kwasababu ni siku ambayo nimepewa tuzo ya CHAMPION of the 2015 European year for developement, lakini nimepewa kwasababu nilikuwa natenga muda wangu kukaa na kuzungumza na jamii, kwa mfano...

 

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKIANDIKA MH. RAIS KUPITIA TWITTER JITIRIRISHE HAPA CHINI


Maneno ya Rais Kikwete kuhusu Wanasiasa wanaomwaga fedha!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani