BAADHI YA NCHI ZA ULAYA ZAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO YA COVID19
Baadhi ya Nchi za Ulaya zimeanza kutambua na kupongeza hatua ambazo Tanzania imezichukua katika kupambana na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 kutokana na muongozo wa Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwa zinaendana mazingira na hali halisi ya Tanzania.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway Bw. Dag-IngeUlstein ametoa pongezi hizo na kutambua jitihada za Rais Dkt John Pombe Magufuli za kutoweka zuio kwa watanzania kutotoka nje (lockdown) kama nchi nyingi duniani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpeg)
KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI KWA UMAHIRI ALIOTUMIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA, YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s400/5.jpeg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa Uongozi imara, msimamo thabiti na usioyumba katika kipindi chote cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19.
Pongezi hizo zimetolewa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, katika kikao chake kilichofanyika jana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.
Pamoja na pongezi hizo Kamati...
5 years ago
MichuziTAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma
Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s640/52395243_303.jpg)
Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.
Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-3dX2jkimCEY/U073NL4ApLI/AAAAAAAFbao/JfY5n01U0Us/s1600/New+Picture+%285%29.bmp)
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6L5hslOlMac/VQwQcJ9tXFI/AAAAAAAHLn0/AiiJE611NW0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-20%2Bat%2B3.19.10%2BPM.png)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Rais Magufuli hajaridhishwa mapambano ya rushwa, kaigeukia TAKUKURU December 15
Bado Rais Magufuli anaendelea kuipanga Serikali ya awamu ya tano ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwenye utawala wake na kazi inakwenda. Tuhuma za rushwa na ubadhirifu zimekuwa nyingi, baada ya ishu ya makontena bandarini, ukwepaji kodi TRA, kaigeukia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU. Rais Magufuli amefanya mabadiliko Taasisi ya TAKUKURU na kutengua […]
The post Rais Magufuli hajaridhishwa mapambano ya rushwa, kaigeukia TAKUKURU December 15 appeared first on...