BAADHI YA WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA MALAIKA KINONDONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-431cJ27sTJI/VNs0d1-2L_I/AAAAAAAHDC4/Z2LiAqyPdfU/s72-c/001.MALAIKA.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano ya Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia), akiongoza wafanyakazi wenzie kutoka kampuni hiyo pamoja na watoto kutoka kituo cha watoto yatima cha Malaika wakati baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho jijini Dar es Salaam jana kuwasilisha kwa niaba ya wafanyakazi wenzao michango yao ya vitu mbalimbali kama nguo, chakula na vitabu.
Mtoto Upendo (kulia) kutoka kituo cha watoto yatima cha Malaika akipokea sabuni za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bzW9hcMYB4k/U9dbk59TtpI/AAAAAAAF7lo/e-veQju4c-w/s72-c/unnamed+(22).jpg)
WAFANYAKAZI WAISLAMU WA VODACOM TANZANIA NA MARAFIKI ZAO WATOA MSAADA KITUO CHA YATIMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bzW9hcMYB4k/U9dbk59TtpI/AAAAAAAF7lo/e-veQju4c-w/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddWJhEeKFok/U9dblB8cE2I/AAAAAAAF7mQ/ScNO0sYfdJ0/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJMH*Oee7lG5ukLXW8cT3hIIVVQIydSVWHz7IutnIWClzg1FgVTmyKGnGBrjXuVqyYlA9PhnkTW*Hu3HKDwx1HfT/001.UMRA.jpg?width=650)
WAFANYAKAZI WAISLAMU WA VODACOM TANZANIA NA MARAFIKI ZAO WATOA MSAADA KITUO CHA YATIMA
10 years ago
VijimamboMAJAJI WA BONGO STAR SEARCH WATEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA NA KUTOA MSAADA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVLykn6roK1V-NcPNVNivbcRh0PpCmbNfDzzk8VXv9JrdBhwX7GsDKvUaYWQ1CoJm9Yt9OSpbuvEuhOCXNvcq-IT/001.MALAIKA.jpg?width=750)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WATEMBELEWA WATOTO YATIMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zl0EJ7n4qrg/XmPSkijsaMI/AAAAAAALhv4/V3jb_PYAu0gRLDuXDFwAL5LGTSPBAtHTwCLcBGAsYHQ/s72-c/9c93071b-f496-4abd-8350-1a913221848a.jpg)
WAFANYAKAZI WANAWAKE TANESCO WAKABIDHI VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA WATOTO YATIMA
KATIKA kusherehekea siku ya wanawake duniani, Wafanyakazi Wala ya kazi wanawake wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametembelea kituo cha watoto yatima cha Rahman kilichopo jijini Dodoma na kuwapa misaada mbalimbali.
Wafanyakazi hao kwa umoja wao wamepeleka Mabati, Mbao, Mifuko ya Saruji, Misumari na Milango kwa ajili ya kumalizia baadhi ya mabweni lakini pia walibeba vyakula kama Mchele, Mafuta ya kupikia, Maji na Juisi.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo...
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
MichuziMwanaFA atembelea kituo cha watoto yatima kabla ya kuangusha bonge la shoo ya"Vodacom Life is better"Tanga
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s72-c/001.FUTARI.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s1600/001.FUTARI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--UnfHiXsA6Y/U8-h5C6WobI/AAAAAAAF5H8/0HbFHYggv5c/s1600/002.FUTARI.jpg)