Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAJETI 2014/2015: Mkuya akwepa gari lake kufika bungeni

>Ilikuwa ni saa 9:51 alasiri wakati gari alilokuwamo Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum liliposimama sambamba na lango kuu la kuingia katika Ukumbi wa Bunge na baada ya dakika moja hivi, aliteremka akiwa ameshika mkoba wenye Bajeti ya Serikali ya 2014/15.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Saada Mkuya awasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha mwaka 2014/2015

Hotuba Mawaziri fedha

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma. Waliokaa viti vya nyuma ni Manaibu Waziri Mwigulu Nchemba (kushoto) na Adam Malima (kulia).(Picha na Wizara ya Fedha).

Hotuba 1

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma.

Hotuba Ya Waziri Wa Fedha 2014 Juni Final by moblog

 

10 years ago

Dewji Blog

Hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa na Mh. Saada Mkuya Salum bungeni iko hapa

pic 3

Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum (MB) akionyesha kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mkoba wenye hotuba ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/16 .

pic 2

Waziri wa Fedha Mh.Saada S.Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2015/16.

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA – 2015-16 FINAL.doc

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDH MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15

MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILI BUNGENI MJINI DODOMA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI  KWA MWAKA 2014/15 LEO. 

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BUNGENI BAJETI KWA MWAKA 2015/16

Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha Begi la Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16 wakati anawasili katika Viwanja vya Bunge, Mjini Dodoma leo. Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo.

 

10 years ago

GPL

SOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 ILIYOWASILISHWA NA WAZIRI WA FEDHA BUNGENI LEO

Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo. SOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 HAPA===>>>BAJETI Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha Begi la Bajeti Kuu ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wapitisha bajeti ya 2014/2015

BARAZA la Madiwani katika Halmashauiri ya jiji la Mbeya limesema kuwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi ya ushuru ya  majengo ni kidogo ikilinganishwa na hadhi ya jiji hilo pamoja wingi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bajeti 2014/2015 yauma na kupuliza!

unnamed (33)

Mheshimiwa Saada Mkuya Salum (Mb), akiwasili Bungeni Mjini Dodoma kuwasilisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi  kwa Mwaka 2014/15 leo. 

Na MOblog Team, Dodoma

BAJETI mpya ya mwaka wa fedha ya 2014/2015 iliyopitishwa leo na Bunge la Bajeti mjini Dodoma, imeendelea kuwa chungu kwa watumiaji wa vinywaji mbalimbali nchini.

Baada ya serikali kuendelea kupandisha ushuru wa bidhaa za  vinywaji baridi, vilevi pamoja na bidhaa za tumbaku kwa kila bidhaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani