BAJETI 2014/2015: Mkuya akwepa gari lake kufika bungeni
>Ilikuwa ni saa 9:51 alasiri wakati gari alilokuwamo Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum liliposimama sambamba na lango kuu la kuingia katika Ukumbi wa Bunge na baada ya dakika moja hivi, aliteremka akiwa ameshika mkoba wenye Bajeti ya Serikali ya 2014/15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mh. Saada Mkuya awasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha mwaka 2014/2015
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma. Waliokaa viti vya nyuma ni Manaibu Waziri Mwigulu Nchemba (kushoto) na Adam Malima (kulia).(Picha na Wizara ya Fedha).
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma.
Hotuba Ya Waziri Wa Fedha 2014 Juni Final by moblog
11 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
Hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa na Mh. Saada Mkuya Salum bungeni iko hapa
Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum (MB) akionyesha kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mkoba wenye hotuba ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/16 .
Waziri wa Fedha Mh.Saada S.Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2015/16.
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA – 2015-16 FINAL.doc
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
MichuziHOTUBA YA WAZIRI WA FEDH MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15
10 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BUNGENI BAJETI KWA MWAKA 2015/16
10 years ago
GPLSOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 ILIYOWASILISHWA NA WAZIRI WA FEDHA BUNGENI LEO
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mbeya wapitisha bajeti ya 2014/2015
BARAZA la Madiwani katika Halmashauiri ya jiji la Mbeya limesema kuwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi ya ushuru ya majengo ni kidogo ikilinganishwa na hadhi ya jiji hilo pamoja wingi wa...
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Bajeti 2014/2015 yauma na kupuliza!
Mheshimiwa Saada Mkuya Salum (Mb), akiwasili Bungeni Mjini Dodoma kuwasilisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa Mwaka 2014/15 leo.
Na MOblog Team, Dodoma
BAJETI mpya ya mwaka wa fedha ya 2014/2015 iliyopitishwa leo na Bunge la Bajeti mjini Dodoma, imeendelea kuwa chungu kwa watumiaji wa vinywaji mbalimbali nchini.
Baada ya serikali kuendelea kupandisha ushuru wa bidhaa za vinywaji baridi, vilevi pamoja na bidhaa za tumbaku kwa kila bidhaa...