Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti mpya balaa



Serikali yatangazia kiama wakwepa kodi Watakaopewa misamaha sasa kutangazwa  Vikao vya chai marufuku, maendeleo kwanza 
NA SELINA WILSON, DODOMA
SIKU chache kabla ya kusomwa kwa bajeti ya serikali bungeni, wafanyabiashara na vigogo wanaokwepa kodi kwa kujificha kwenye mwamvuli wa misahama hawako salama, imeelezwa.
Hatua hiyo imetokana na serikali kuonya kuwa, haitawaogpa wala kuwaonea haya wakwepa kodi na kwamba, kuanzia sasa misamaha yote itawekwa hadharani.

Pia, imesema kuwa kila msamaha...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mb Dog akamilisha mbili mpya bomba balaa

unnamed (1)

Msanii Mb Dog pichani.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWIMBAJI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amekamilisha nyimbo nyingine mbili mpya zinazojulikana kama “Ya Moto” na “Demu Mwingine”.

Kukamilika kwa nyimbo hizo ni mwendelezo wa mikakati ya msanii huyo kufanya kazi nzuri ili kumuweka katika kiwango cha juu katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema kwamba nyimbo hizo amezirekodi katika Studio yake ya Macoppa, zilizopo...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo

>Miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa nchi yoyote. Miundombinu hii ni pamoja na barabara, madaraja, viwanja vya ndege, reli, bandari na nyinginezo. Kiuchumi, hii ni miundombinu migumu (hard infrastructure) ukilinganisha na miundombinu kama ya mawasiliano ikiwamo simu na intaneti ambayo ni miundombinu laini (soft infrastructure) ya kiuchumi.

 

5 years ago

Michuzi

UTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...

 

10 years ago

GPL

BALAA LA VIKOBA

Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Mwanamke mmoja, Catherine Melzedeki mkazi wa Mzinga, Kitunda jijini Dar ambaye ni Mweka Hazina wa kikundi cha Vikoba amezua balaa baada ya kukombwa samani za ndani kufuatia kushindwa kulipa hela ya upatu inayofikia shilingi milioni 1.2. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IDtqrw

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani