Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mb Dog akamilisha mbili mpya bomba balaa

unnamed (1)

Msanii Mb Dog pichani.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWIMBAJI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amekamilisha nyimbo nyingine mbili mpya zinazojulikana kama “Ya Moto” na “Demu Mwingine”.

Kukamilika kwa nyimbo hizo ni mwendelezo wa mikakati ya msanii huyo kufanya kazi nzuri ili kumuweka katika kiwango cha juu katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema kwamba nyimbo hizo amezirekodi katika Studio yake ya Macoppa, zilizopo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO  Serikali imesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es salaam unaenda vizuri kulingana na ratiba yake na utakamilika kwa wakati.  Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea kituo cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia kinachojengwa Kinyerezi wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili ya kukagua mradi wa ujenzi wa bomba la gesi jijini Dar es salaam.  Balozi Sefue alisema...

 

9 years ago

Global Publishers

Mb Dog kuitambulisha video mpya Januari Mosi

3MB Dog akitoa vionjo vya wimbo wake mpya wa Siyo Siri kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).1Mkurugenzi wa QS Mhonda J Entertainment, Joseph Mhonda akizungumza jambo katika mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya King D iliyopo Sinza-Afrika Sana jiji ni Dar. Kushoto kwake ni Direkta Abby Kazi, kulia ni msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Q-Chillah.
2Mhonda (kushoto) akimkabidhi Direkta Abby Kazi kitita cha shilingi milioni ishirini kama ada ya kumsajili katika Kampuni ya QS Mhonda J...

 

9 years ago

MillardAyo

Mabibi na Mabwana Mb Dog katuletea hii single mpya ‘Sio Siri’ isikilize hapa…..

Unapolitaja jina la Mb Dog au Dog Man tayari unajua ni nani anayezungumziwa ambaye kwa kipindi cha nyuma hit kama Latifa,Mapenzi kitu gani,Inamaana na zingine nyingi zilimueka kwenye headline na kuzungumziwa kila mara. Sasa time hii ametuletea hii single mpya iitwayo Sio Siri isikilize hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Mabibi na Mabwana Mb Dog katuletea hii single mpya ‘Sio Siri’ isikilize hapa….. appeared first on...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bajeti mpya balaa



Serikali yatangazia kiama wakwepa kodi Watakaopewa misamaha sasa kutangazwa  Vikao vya chai marufuku, maendeleo kwanza 
NA SELINA WILSON, DODOMA
SIKU chache kabla ya kusomwa kwa bajeti ya serikali bungeni, wafanyabiashara na vigogo wanaokwepa kodi kwa kujificha kwenye mwamvuli wa misahama hawako salama, imeelezwa.
Hatua hiyo imetokana na serikali kuonya kuwa, haitawaogpa wala kuwaonea haya wakwepa kodi na kwamba, kuanzia sasa misamaha yote itawekwa hadharani.

Pia, imesema kuwa kila msamaha...

 

11 years ago

Mwananchi

Dar yapendekeza wilaya mbili mpya

Mkoa wa Dar es Salaam umependekeza kuongeza idadi ya wilaya zake kutoka tatu hadi tano, katika bajeti ya mwaka huu wa fedha inayotarajiwa kusomwa katika Bunge lijalo.

 

10 years ago

Mtanzania

Mchuano mkali theluthi mbili Katiba Mpya

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

MCHUANO mkali umeibuka bungeni jana wakati wa upigaji kura wa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba  kutoka Zanzibar walipiga kura ya HAPANA

Upigaji kura ulianza jana saa 9 alasiri kwa wajumbe kupiga kura katika sura 10 na ibara 157 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Hatua hiyo ilitawaliwa na wajumbe wengi kutoka...

 

10 years ago

Bongo5

Ngoma mbili mpya za Roma Mkatoliki zinakuja

Roma Mkatoliki anatarajia kuachia nyimbo mbili kwa mpigo kabla mwaka haujamalizika. Miongoni mwa ngoma hizi ni pamoja na ile iitwayo One Two, One Two itakayokuwa ikiendana na siku yake ya kuzaliwa. Roma ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kufanya hivyo ili kuwaridhisha mashabiki wa muziki. “Project zipo zaidi ya moja ili kufungua mwaka na nguvu mpya, kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani