Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYIMBO MBILI MPYA ZA P SQUARE, BRING IT ON NA SHEKINI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

9 years ago

GPL

PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE

Mtangazaji wa Global TV Online na muimbaji Pamela Daffa 'Pam D'. Pamela Daffa 'Pam D' akiwa katika mapozi tofauti. MTANGAZAJI na muimbaji Pamela Daffa aka Pam D amesema nyimbo zake mbili zimempa…

 

10 years ago

Bongo5

Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’

Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo5

Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa

Rapper Noorah aka Babastylez amedai kuwa sababu iliyomkatisha tamaa kuendelea kuachia nyimbo ni kuchukuliwa poa kwa ngoma zake mbili za mwisho alizozitoa ambazo yeye aliamini ni kali na zilistahili kufanya vizuri. “Kuna nyimbo mbili tatu nilizitoa zilikuwa kali sana kama ‘Chambervement’ niliyomshirikisha marehemu Magwair na ‘Mapenzi Sinema’ niliyomshirikisha Dataz, hazikufika katika kiwango ambacho zilistahili kufika […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu Ali Kiba aachi nyimbo mbili mfululizo “Kimasomaso” na “Mwana Dar” zisikilize hapa!

Alikiba - Mwana Cover Done CD-1

Unaweza kusoma Profile ya Ali Kiba hapo chini

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president Jakaya Mrisho Kikwete honored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.

In 2011, Alikiba was voted as “the most...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani