Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ngoma mpya ya P-Square

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani

P-Square wameonesha mjengo wao mpya uliopo, Buckhead, Atlanta nchini Marekani. Hiyo ni nyumba yao ya tatu ya kifahari iliyopo nchini humo. “More blessings condo number 3, new home,big things instillation time,” wameandika kwenye ukurasa wao wa Facebook. “New landlords in Atlanta buckhead more blessing ….. Only God can do this,” wameandika kwenye picha nyingine. “We […]

 

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA VIJIMAMBO TIMES SQUARE NEW YORK KUELEKEA MWAKA MPYA

 Watu wakiwa tayari wamejipanga kusubiri mkesha wa mwaka mpya 2015 eneo la Times Square New York City, sehemu hii ni maarufu sana kwa New York na Marekani watu kutoka sehemu mbali mbali za dunia ufika New York kushuudia mwaka mpya kwa style mbali mbali  za kukiss adharani na wengine kuvalishana pete za uchumba wakiwa hapa Times Square baada ya kuangushwa mpira mkubwa unaojulina kama balls drop.
 ili ndiyo balls drop lenyewe linalo wavuta watu kutoka sehemu mbalimbali licha ya kuwa na baridi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngoma mpya ya Chege mtaani J’3

MSANII wa muziki kutoka kwenye kundi la TMK Family, Said Nassoro ‘Chege Chigunda’ ameelezea ujio wa video ya wimbo wa ‘Wauwe,’ akisema itakuwa mtaani kuanzia Jumatatu. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Mwana FA na AY wa-tease ngoma mpya

Hamis Mwinjuma a.k.a Mwana FA na swahiba wake Ambwene Yessaya a.k.a AY wame tease ngoma mpya ambayo ni ishara ya ujio wao wa 2015. FA ambaye hivi karibuni ameachia video ya ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba na kufanyika Kenya, ameshare video wakiwa studio za MJ na AY huku ikisikika sauti ya ngoma mpya, na kuandika “2015….myyyyyyyyyyy […]

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA

12120321_1140272202668159_944774289_n

Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.

12120321_1140272202668159_944774289_n

Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:

Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J

— Hermy B (@HermyB1)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani