Dar yapendekeza wilaya mbili mpya
Mkoa wa Dar es Salaam umependekeza kuongeza idadi ya wilaya zake kutoka tatu hadi tano, katika bajeti ya mwaka huu wa fedha inayotarajiwa kusomwa katika Bunge lijalo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Ubungo, Kigamboni ni wilaya mpya Dar
RAIS Jakaya Kikwete, akitanguliwa na Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda, kwa nyakati tofauti bungeni wametaja kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya sita, huku Jiji la Dar es Salaam likipata wilaya mpya mbili.
Viongozi hao walitoa maelezo hayo jana mjini Dodoma, aliyeanza akiwa Waziri Mkuu Pinda ambaye alifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kuahirisha Bunge la 10 huku Rais Kikwete akifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kulivunja Bunge hilo kabla ya tangazo rasmi kutolewa...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Ashauri Kwimba igawanywe wilaya mbili
MBUNGE wa Sumve, Richard Ndassa ameomba wilaya ya Kwimba igawanywe zipatikane mbili kutokana na kile alichosema ni kubwa na yenye idadi kubwa ya watu.
10 years ago
GPLAJALI MBILI ZATOKEA WILAYA YA BAGAMOYO, PWANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYA YA NGORONGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NcPUa81y5ZE/XkVhXq8G-FI/AAAAAAALdQE/2gD7IIz3e20OF14ZB5ZoquL8kAe7ZowMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1222a6dc-5074-40f8-9df5-fd8cc6eb451f.jpg)
HOSPITALI YA WILAYA MWANGA YAPEWA WIKI MBILI KUJA NA MKAKATI WA UPATIKANAJI WA VIPIMO MUHIMU VYA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NcPUa81y5ZE/XkVhXq8G-FI/AAAAAAALdQE/2gD7IIz3e20OF14ZB5ZoquL8kAe7ZowMwCLcBGAsYHQ/s640/1222a6dc-5074-40f8-9df5-fd8cc6eb451f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/77c398eb-43ce-4b66-a374-73c58896d8d5.jpg)
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
10 years ago
VijimamboMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPTALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPTALI YA MACHAME
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Bodi yapendekeza chama kuvunjwa
10 years ago
Habarileo01 Jun
RCC yapendekeza majimbo mapya
MAJIMBOya uchaguzi mkoani Iringa yako mbioni kuongezeka, kama itaridhiwa na Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutoka sita ya sasa hadi manane baada ya kikao maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC), kuafiki nyongeza hiyo.