Ubungo, Kigamboni ni wilaya mpya Dar
RAIS Jakaya Kikwete, akitanguliwa na Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda, kwa nyakati tofauti bungeni wametaja kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya sita, huku Jiji la Dar es Salaam likipata wilaya mpya mbili.
Viongozi hao walitoa maelezo hayo jana mjini Dodoma, aliyeanza akiwa Waziri Mkuu Pinda ambaye alifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kuahirisha Bunge la 10 huku Rais Kikwete akifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kulivunja Bunge hilo kabla ya tangazo rasmi kutolewa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSTUDIO MPYA YA KUREKODI MUZIKI YAZINDULIWA UBUNGO-MAZIWA DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMKUTANO KUHUSU UENDELEZAJI WA MJI MPYA WA KIGAMBONI WAFANYIKA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALAIMU NYERERE,JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Dar yapendekeza wilaya mbili mpya
11 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA WADAU WA MJI MPYA WA KIGAMBONI DAR ES SALAAM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jFv8WYQzK_w/Xownbq3nSGI/AAAAAAACJsM/rOLRRbT8Of4LdGXpkOuS9ECvBUNah4R9ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200406-WA0083_1_1.jpg)
WILAYA YA UBUNGO YAZINDUA KAMATI YAKE YA MAAFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jFv8WYQzK_w/Xownbq3nSGI/AAAAAAACJsM/rOLRRbT8Of4LdGXpkOuS9ECvBUNah4R9ACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200406-WA0083_1_1.jpg)
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Dar es Salaam, imefanya uzinduzu wa Kamati ya Maafa ya Wilaya katika hafla iliyofanyika leo, katika Ukumbi uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic.
Katika uzinduzi huo mwezeshaji alikuwa ni Mratibu wa timu ya Wataalam ya Maafa Mkoa wa Dar es Salaam Dk.Christopher Mnzava na Mratibu wa maafa Wilaya ya Ubungo Juliana Kibonde
Lengo/kazi ya kamati hiyo ni Kuhuisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3538.jpg)
TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3538.jpg)
Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
1. Kwenye Vivuko:
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...
5 years ago
CCM BlogNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYA SH. MIL 15 WILAYA YA UBUNGO
10 years ago
Habarileo23 Oct
Stendi mpya ya Ubungo yaanza kutumika
MAMLAKA YA Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imesema Kituo cha Ubungo kilichoko Mawasiliano Towers kitaanza kutumika rasmi kuanzia leo baada ya kukamilika kwa ujenzi wa lami, choo, Kituo cha Polisi, taa pamoja na vibao vinavyoonesha eneo basi linapokwenda.
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mgogoro wa Mji Mpya Kigamboni waisha
HATIMAYE mgogoro wa ardhi uliokuwepo kwa muda mrefu baina ya serikali na wakazi wa Kigamboni, umefikia tamati baada ya serikali kukubaliana na wananchi kuhusu uendelezaji wa ardhi kupitia mpango wa Mji Mpya.