BALOZI MERO AKUTANA NA Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani,Dr. Margert Chan
Balozi wa Kudumu wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa,Geneva,Mhe. Balozi Modest J.Mero amekutana na Dr. Margert Chan, Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, katika ofisi za Shirika la Afya Dunia jana tarehe 31 Januari 2014.
Huu mkutano ni moja ya mikutano ambayo Mhe Balozi anafanya na wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa yenye makao makuu hapa Gevena, Uswisi Katika kajenga mahisiano ya karibu kikazi. Katika mkukutano huu msimamo wa Tanzania kuhusu masuala mbalimbali ya Afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBALOZI MERO AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LINANOPAMBANA NA UKIMWI (UNAIDS)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif akutana na Balozi wa Kuwait pamoja na mwakilishi wa shirika la afya duniani (WHO) nchini
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ud0rD4TThlo/VmA1C8oK4qI/AAAAAAAIKBw/rwfxnAT9F2A/s72-c/20151203_105716.jpg)
Balozi Mero ashiriki Mkutano mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Viwanda Duniani (UNIDO) unaofanyika Vienna, Austria
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ud0rD4TThlo/VmA1C8oK4qI/AAAAAAAIKBw/rwfxnAT9F2A/s1600/20151203_105716.jpg)
Katika hotuba yake, Mhe. Balozi Mero, pamoja na mambo mengine...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s72-c/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s1600/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h_A6NzQ45BM/XsiuK3hzyDI/AAAAAAALrV4/7dkoXVNlZ60rIkeYlAvTrTIUH-z2MhQIwCLcBGAsYHQ/s72-c/85ef42ef-8651-4a79-9d3c-107e2a8fb2d7.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Balozi Seif akutana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la AVIC
Picha na – OMPR – ZNZ. Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la avic kutoka Jamuhuri ya Watu wa China limejitolea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuanzisha mradi […]
The post Balozi Seif akutana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la AVIC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s72-c/0999700.jpg)
Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s400/0999700.jpg)
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...
11 years ago
GPLBALOZI MODEST MERO AFANYA MAZUNGUMZO NA MH. DKT. SEIF RASHID, WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...