Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Seif Ajumuika na Wanamichezo wa Jimbo la Konde Pemba

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akishiriki kwenye matembezi yaliyotayarishwa na Vikundi vya Mazoezi vya Jimbo la Konde hapa katika Kijiji cha Msuka, Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamad Mberwa na Mkuu wa Mkoa huo Omar Khamis Othman.Baadhi ya wanamichezo wa vikundi vya mazoezi wa Jimbo la Konde na wale waalikwa wa Wilaya ya Wete na Chake chake wakishiriki kwenye matembezi ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Bara bara ya Wete hado Konde,Pemba

Makamau wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akikagua ujenzi wa Bara bara ya Wete hado Konde ambao uko katika hatua ya lami alipokuwa Kisiwani Pemba kwa ziara ya Siku tatu kuagua shughuli mbali mbali za Maendeleo. Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Kamati ya Msikiti wa Ijumaa wa Micheweni Mjini Mkoa wa Kaskazini Pemba na kuwakumbusha waumini wa dini ya kiislamu kuendelea na ibada zao wakiepuka fitna za kuchanganya na siasa. Picha na Hassan Issa wa - OMPR - ZNZ.
Harakati za...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Seif afurahishwa na barabara ya Konde

MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali IddiMAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi amesema amefurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 30 kutoka Konde hadi Wete ambao unaendelea kwa kasi ya kuridhisha.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WAPILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AJUMUIKA KATIKAMAAZISHI YA MJUMBE WA BODI YA TUME YA UTUMISHI SERIKALINI BIBI FATMA MOH’D OTHMAN

  Marehemu Bibi Fatma Moh’d Othman Mjumbe wa Bodi yaUtumishi Serikalini ambae pia ni Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya ya Mkoani
Pemba aliyefariki dunia Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Kijijinikwao Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akijumuika pamoja na waumini wa Dini ya Kiislamu katika kumsalia Bibi Fatma Moh’d Othman aliyefariki Da es salaam juzi na kuzikwa Kijijini kwao Kiwani Wilaya na Mkoani Pemba.
Balozi Seif pamoja na baadhi ya viongozi wakiwasili makaburini...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Seif Iddi awapa somo wanaCCM Pemba

Balozi Seif Ali Iddi WANANCHI wa kisiwa cha Pemba wametakiwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa ambayo imekuja na muundo wa Serikali mbili ambao ndiyo utakaowaunganisha wananchi na kuwa kitu kimoja na sio kuwagawa.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN

Balozi Mpya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Japan Balozi Batilda Buriani akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipofika kuaga rasmi baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkaribisha Balozi Mpya wa Malawi Nchini Tanzania Bibi Hawa Ndolowe aliyefika Ofisini kwake kujitambulisha rasmi.
Balozi Seif akisalimiana na Gavana Mkuu wa Jimbo la Siustan na Balachestan...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AHUDHURIA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME (SAW) KISIWANI PEMBA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia na kutoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam waliohudhuria maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad yalioandaliwa na Taasisi ya Samael Academy yaliofanyika katika Msikiti wa Gombani Chakechake Kisiwani Pemba.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia na kutoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam waliohudhuria maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad yalioandaliwa na Taasisi ya Samael...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.

Na Othman Khamis Ame, OMPR  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Hakmashauri Kuu ya Taifa ya  CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuhakikisha kinashinda kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015 ili kiendelee kusimamia uhimili wa amani ya Taifa iliyopo hivi sasa. Balozi Seif alisema hayo wakati akizungumza na Viongozi pamojana Wana CCM wa Kisiwa Panza Wilaya ya Makoani Pemba mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi la Mtondooni Kisiwani...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA MAREKANI, AKAGUA UJENZI WA BARABARA WETE, PEMBA

 Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani ambae pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ms Shimoja Dr. Robert Shumake akimtambulisha Makamu wa Rais wa Kampuni ya maendeleo ya ujenzi ya Detroit Nchini Marekani Bw. Andrew G. McLemore kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi walipokutana kwa mazungumzo VIP ya Uwanja wa ndege wa Pemba. Aliyepo kushoto na Balozi Seif ni Afisa Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani Mh. Suleiman Saleh. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF IDDI MGENI RASMI KWENYE MAHAFALI YA SHUO CHA ELIMU YA BIASHARA PEMBA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi tuzo na fedha taslim kijana Mohammed Suleiman Khalfan baada ya kuwa Mwanafunzi Bora wa Fani ya Hesabu katika chuo cha Elimu ya Biashara Pemba.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Ali Iddi akimzawadia Tuzo na Fedha Taslim Mwanafunzi Bora wa Fani ya Mawasiliano ya Umma wa Chuo cha Elimu ya Biashara Pemba Nassor Mussa Khamis kwenye mahafali ya chuo hicho hapo Vitongoji Chake Chake Pemba.Wahitimu wa Chuo cha Elimu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani