BALOZI SEIF AOMBOLEZA KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA INDIA, BWANA AVUL PAKIR JAINULABDEEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-d6qCX8jeQco/VbuF8conmkI/AAAAAAABD-M/zazplLzHRzY/s72-c/162.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiweka saini kitabu cha maombolezo katika Ofisi ya Ubalozi mdogo wa India uliopo Migomani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa India Profesa Abdul Kalam Azad kilichotokea Tarehe 27 Julai 2015.
Balozi Seif akimfariji Balozi Mdogo wa India aliyepo Zanzibar Bwana Setandar Kumar mara baada ya kuweka saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa 11 wa India Profes Abdul Kalam Azad.
Picha na – OMPR – ZNZ.
Makamu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZTgnwz4fuo/XuXwPYZ7umI/AAAAAAALtxI/t7YfcOZA1H8wdkBXxF9TJAWrTf7tt4lyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.28%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Brigedia mstaafu Hashim Mbita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho amepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha mmoja wa watumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF), Chama cha TANU na Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Africa – Liberation Committee of the African National Unity (OAU), Brigedia Hashim Mbita, kiongozi ambaye Rais Kikwete amemwelezea kama mmoja wa viongozi ambao wameifanyia nchi yetu mengi na kwa miaka mingi.
Rais Kikwete ambaye...
11 years ago
Michuzi23 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2N2MZkFA5Qc/VRKc4uMXKtI/AAAAAAAHNGM/pwwoud_4nrY/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Balozi Kamala aomboleza kifo cha Kiongozi wa zamani wa Singapore
![](http://1.bp.blogspot.com/-2N2MZkFA5Qc/VRKc4uMXKtI/AAAAAAAHNGM/pwwoud_4nrY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
11 years ago
Habarileo03 Jul
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Ng’wanakilala
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi, kuomboleza kifo cha mwandishi wa habari mkongwe na mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Nkwabi Ng’wanakilala.
10 years ago
Dewji Blog11 May
Rais Kikwete aomboleza kifo cha John Nyerere
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salama za rambirambi kwa mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, Bw. John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9,2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam
Pamoja na salamu hizi, Rais Kikwete ambaye yuko nchini Alrgeria kwa ziara ya kikazi, amefanya mawasiliano binafsi na Mama Maria na kumpa pole kwa kuondokewa na kijana wake.
“Hakuna mzazi anayependa kuondokewa na mwanae, ni kitu kigumu sana kwa mzazi...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Rais Zuma aomboleza kifo cha nahodha BafanaBafana
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Nkwabi Ng’wanakilala
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha mwandishi wa habari mkongwe na mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Bwana Nkwabi Ng’wanakilala.
Bwana Ng’wanakilala ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki kwenye Hospitali ya Rufani ya Bugando mjini Mwanza kwa matatizo ya figo na tumbo, alizikwa jana, Jumatatu, Julai Mosi, 2014, nyumbani kwake Kibamba, Dar es Salaam.
Katika salamu ambazo amemtumia...