Bandari bubu tatu kutambuliwa rasmi
Mkoa wa Tanga upo kwenye mchakato wa kurasimisha bandari bubu tatu ili zipandishwe hadhi na kufanya kazi chini uangalizi wake, tofauti na sasa zinatumika kupitisha biashara za magendo na wahamiaji haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
TRA wakamata bidhaa bandari bubu
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa mbalimbali zinazodaiwa kuingizwa au kutoka nchini kinyume cha taratibu. Aidha ilidaiwa kwamba bidhaa hizo nyingi zipo katika kiwango duni na hazifai kwa matumizi ya binadamu.
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbowe ailipua Serikali kuhusu bandari bubu nchini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vl9kv5g9jpJoL83XJ1AqNJhR0UrzufXMjbtGycV*x35dvISydnJ*JMzUEBO3cIKV6b6vuuApRzjpPx4iBr1Clo9AYd2JikJ4/CBEPichana1.jpg?width=650)
CBE YAENDESHA UTAFITI KUWASAIDIA MACHINGA KUTAMBULIWA RASMI
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
CBE yawakumbuka wamachinga, yaendesha utafiti kuwasaidia kutambuliwa rasmi
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kuhusu utafiti wa wafanyabiashara wadogo wadogo (wamachinga) unaofanywa na chuo hicho kwa kushirikiana na Shirika la Wafanyabiashara kutoka nchini Finland (FBMA) kwa lengo la kubaini fursa za biashara zilizopo , faida, changamoto na mchango wao katika maendeleo ya taifa pindi watakapoingizwa kwenye mfumo rasmi unaotambulika kisheria.
Makamu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam ...
5 years ago
Michuzi24 Jun
MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/WhatsApp-Image-2020-06-24-at-10.41.08.jpeg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PHOTO-2020-06-24-09-40-50.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...
10 years ago
MichuziMICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFLsZc2IWKc/VH15pTp3TtI/AAAAAAACvr4/So2hk3dudaI/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Rais Jakaya Kikwete ahimiza amani ilikuvutia zaidi wawekezaji, azindua rasmi jiwe la msingi Bandari ya Bagamoyo
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa sambamba na viongozi waandamizi wa China na Oman wakichanganya mchanga kwa pamoja na kuweka kwenye kalai kuashiria tukio hilo la ufunguzi wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bandari ya Kisasa ya Bagamoyo kwa msaada wa nchi hizo mbili za China na Oman. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog.
[BAGAMOYO-PWANI] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amewahimiza watanzania kuendelea kuienzi...
10 years ago
Vijimambo10 May
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--kXmash0fyo/VU6hmB5mKvI/AAAAAAADmkU/Itc_G-3U9OY/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku tatu katika nchi hiyo rafiki wa miaka mingi wa Tanzania kwa mwaliko wa Rais Abdelaziz Bouteflika.
Rais Kikwete amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria akitokea New York, Marekani, ambako kwa wiki nzima amekuwa anaendesha vikao vya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani ambao wanatafuta...