TRA wakamata bidhaa bandari bubu
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa mbalimbali zinazodaiwa kuingizwa au kutoka nchini kinyume cha taratibu. Aidha ilidaiwa kwamba bidhaa hizo nyingi zipo katika kiwango duni na hazifai kwa matumizi ya binadamu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Bandari bubu tatu kutambuliwa rasmi
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbowe ailipua Serikali kuhusu bandari bubu nchini
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2si2e3VLUiQ/VnF6kLLbmII/AAAAAAAIM5g/901aQIaWGrQ/s72-c/20151216065025.jpg)
TFDA wakamata bidhaa za magendo jijini Mbeya leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-2si2e3VLUiQ/VnF6kLLbmII/AAAAAAAIM5g/901aQIaWGrQ/s640/20151216065025.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sbea9We6a94/VnF6kRcJXII/AAAAAAAIM5c/X--kd_SuE7c/s640/20151216065027.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ld6sDim87gk/VnF6sbTkJpI/AAAAAAAIM5s/_x00IXaVeWE/s640/2015121606502.5.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Mar
TRA yakamata bidhaa za magendo za mabilioni
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo zenye thamani ya Sh milioni 228.4, ikiwa ni katika jitihada za kudhibiti uingizaji wa bidhaa kwa njia ya magendo na biashara ya magendo nchini.
10 years ago
Habarileo11 Apr
Bidhaa za magendo zaipatia TRA mil 258/-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya kodi na faini ya jumla ya Sh milioni 258.5 kutokana na bidhaa mbalimbali za magendo zilizokamatwa katika kipindi cha Februari na Machi mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UOYBJ8yMbbc/XmD0j_7CLsI/AAAAAAALhNE/cZfNVgKsHxciuwIy3scN5uMZw6s5YqVnwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-9.jpg)
TRA SONGWE YAGAWA BIDHAA ZILIZOINGIZWA KWA NJIA ZA MAGENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UOYBJ8yMbbc/XmD0j_7CLsI/AAAAAAALhNE/cZfNVgKsHxciuwIy3scN5uMZw6s5YqVnwCLcBGAsYHQ/s1600/1-9.jpg)
Mkoa wa Songwe, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela (aliyevaa miwani) akikagua orodha ya bidhaa ambazo zimetolewa na Mamlaka ya Mapato (TRA) kutokana na kuwa zimekamatwa kwa njia za njia za magendo na wamiliki hawakujitokeza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-9.jpg)
Simenti iliyokamatwa kwa kuingizwa nchini kwa njia za Magendo katika Mpaka wa Tunduma ikitolewa kwa ajili ya kupelekwa katika shule za sekondari za Mkoa wa Songwe.
…………………………………………………………Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) Mkoa wa Songwe imegawa baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
9 years ago
Michuzi27 Nov
BREAKING NEWZZZZZ....WAZIRI MKUU MAJALIWA AVAMIA BANDARI LEO, AAMRISHA KUKAMATWA KWA MAAFISA KIBAO WA TRA
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA.
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.
Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...