Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bandari Mtwara watakiwa kuimarisha ulinzi

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk. Cherles Tizeba, ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), mkoani Mtwara, kusimamia kwa umakini uimarishaji ulinzi kwenye bandari hiyo. Agizo hilo, alilitoa hivi karibuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JKT wapongezwa kuimarisha ulinzi

Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa, SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi kuimarisha ulinzi Pasaka

Advera-BulimbaNa Grace Shitundu, Dar es Salaam

JESHI la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi  kuwa makini katika  ulinzi na usalama wa maisha na mali zao katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kuanzia leo.

Taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Jeshi hilo,  Advera Bulimba, ilieleza kuwa wakati wa sikukuu baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu.

Alisema kutokana na hali hiyo, Jeshi la Polisi  kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi katika mikoa yote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza inapanga kuimarisha ulinzi Calais

Serikali ya Uingereza inapania kuongeza maafisa wa uslama katika mpaka wake na Ufaransa ilikuzima ndoto za wahamiaji kuingia nchini humo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Suma JKT yapongezwa kuimarisha ulinzi Stamigold

SHIRIKA la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (Suma JKT), limepongezwa kwa kuhakikisha ulinzi unaimarika kwenye maeneo ya mgodi wa Stamigold uliopo Biharamulo, mkoani Kagera. Mgodi huo kwa sasa...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akionyesha waandishi wa habari leo (hawapo pichani) kitabu cha maadili ya uchaguzi kilichosainiwa na viongozi wa vyama vya siasa waliosimamisha wagombea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

 Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...

 

9 years ago

StarTV

Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo  mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.

Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...

 

9 years ago

Habarileo

Dangote ‘kufumua‘ bandari ya Mtwara

UWEZO wa bandari ya Mtwara unatarajiwa kuongezeka mara dufu kufuatia kufunguliwa rasmi kwa kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani