Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bangladesh:ndoa za mapema zimeenea sana

Human Rights Watch,limetoa wito kwa serikali ya Bangladesh itekeleze ahadi yake ya kukabiliana na visa vingi vya ndoa za mapema nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kero la ndoa za mapema Zambia

Agness aliozwa miezi mitatu iliyopita kwa mwanamume ambaye hakua anamfahamu hata kidogo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa za mapema zadumaza elimu TZ.

Serikali ya Tanzania imeihimizwa kuweka umri wa mwisho kwa ndoa kwa wasichana na wavulana uwe miaka 18 kuondosha ndoa za utotoni.

 

11 years ago

GPL

SANDRA: NAIPENDA SANA NDOA YANGU

TAHADHARI Mimi nakukubali sana Sandra, kwanza nakupa hongera kwa kazi zako nzuri, ila nakupa tahadhari, jitahidi hivyohivyo kuwa na msimamo wa kutopata skendo, vinginevyo utajiharibia katika sanaa pia jamaa atakumwaga kwani utapoteza sifa. Selemani Alifa, Dar, 0718803204
SANDRA: Asante, nitajitahidi. Staa wa filamu Bongo, Salma Salmini 'Sandra'. UCHUMBA
Sandra nakuzimia sana jinsi ulivyo na umbo zuri, naomba uwe mchumba...

 

11 years ago

GPL

NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!

ILI uwe na ndoa yenye furaha ni lazima utenge muda wa kutafakari namna ya kuiboresha na
kutafuta furaha ya ndoa hiyo. Ndugu zangu, kila kitu kinatengenezwa. Waswahili wanasema, ukiona vyaelea, ujue vimeundwa. Huwezi kuacha mambo yakajiendesha hovyo ukategemea kuwa na ndoa bora. Uhusiano imara unakutegemea wewe.
Kila mmoja ana wajibu wa kuangalia furaha ya mwenzake. Yapo mambo mengi muhimu ambayo kama
wanandoa wakiyafanya...

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….

Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.

“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.

Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi auawa Bangladesh

Mwandishi wa blogu asiyefungamana na masuala ya dini nchini Bangladesh ameuawa kwa kushambuliwa na watu wasiojulikana

 

9 years ago

BBCSwahili

Viongozi 2 wa upinzani wanyongwa Bangladesh

Viongozi wawili wa upinzani wamenyongwa nchini Bangladesh kutokana na uhalifu wa kivita wakati wa vita vya uhuru 1971.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga mauaji Bangladesh

Mamia ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka, kupinga mashambulio yaliyofanywa jana dhidi ya mchapishaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani