BANZA AMLILIA PAPII KOCHA
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3C7pNKEoenPW5V1V-jYZR9bvB815fL3GGgu-aG8fgUM8oEMQ1KuAftu4Lbh3cRnhh7KJfGadZ4xgHKKeybE7npq/banza.jpg?width=650)
LEGENDARY wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja 'Banza Stone' amefunguka kuwa anamkumbuka Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwani alikuwa kama mdogo wake kwenye gemu. Ramadhan Masanja 'Banza Stone'. Akizungumza na Global TV Online ambayo itarusha mahojiano yake leo, Banza alisema alikuwa akimtazama Papii kama chimbuko la dansi ambalo litaleta mapinduzi hivyo kufungwa kwake kumempotezea ndoto zake.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s72-c/images.jpg)
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s640/images.jpg)
Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNS5w*DpjZPYqEwVSxyWHquiNQgvt*wWw-178NBDe5be*yliuYuunjrLJlbw-MO7j3MGHDNOWAp0i82IhP0wCRQ3/VICKING.jpeg?width=650)
NGUZA VIKING NA MWANAE PAPII KOCHA WATUMBUIZA KWENYE MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9FVVvAFJ2vjMhG1Yom0sih0ASwF4Q1UhRY4qziMI5h2S8*DjKGTIMvRM4iA8pI4oO9MaQ0xLB*QaUc6eeyvFWJH/seya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DakEyiuQKfKptdoEcUxFk1ykDr9eRzV*MTY9wIF7lNBXD7JLOIPqEvMD*lxLR24PoiRTOAgN1NHdnLSPZNfQYL/babaseya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII FURAHA UPYA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3VZVa7mx8XxhNry38CHaGTUYBoJV2D0iKAm75ZCCstw1BdMPuKnfNc6yAwCukEF*2lwauBOcHl9Cc61TcPDG5p2/papii.gif?width=650)
BABU SEYA,PAPII VICHEKO GEREZANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8TLRwt8D9xGn18*1bDt5OwFmNqfOvBUARIHtxhNTDVtilpRYPB2wsXIEGgG5r4xNp*ADRtZfQ13OZpScoh6cx1/BABU.jpg)
BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)