Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANZA AMLILIA PAPII KOCHA

LEGENDARY wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja 'Banza Stone' amefunguka kuwa anamkumbuka Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwani alikuwa kama mdogo wake kwenye gemu. Ramadhan Masanja 'Banza Stone'. Akizungumza na Global TV Online ambayo itarusha mahojiano yake leo, Banza alisema alikuwa akimtazama Papii kama chimbuko la dansi ambalo litaleta mapinduzi hivyo kufungwa kwake kumempotezea ndoto zake.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK

>Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.

 

10 years ago

Michuzi

Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone



Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school  iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...

 

11 years ago

GPL

NGUZA VIKING NA MWANAE PAPII KOCHA WATUMBUIZA KWENYE MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY

Msanii Nguza Viking (kulia) na Mwanae Jonson Nguza Maarufu kwa jina la Papii Kocha ambao wanatumikia Kifungo chao kwenye Gereza la Ukonga jijini Dar,wakiwa na Bendi ya Wafungwa wakiimba Wimbo Maalum kuhusu Urekebishaji wa Wafungwa unavyofanyika Magerezani,Wanamuziki hao walitumbuiza katika Maadhimisho ya Magereza Day yaliyofanyika Juni 20, 2014 katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga. ...

 

11 years ago

GPL

BABU SEYA, PAPII...

Na Mwandishi Wetu
MAISHA ya uraiani baada ya kutoka gerezani ndiyo mzozo uliopo sasa kati ya wanamuziki mahiri nchini ambao ni baba na mwana, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, Amani limetonywa. Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wakitoka Mahakamani. Chanzo makini kimesema kuwa wawili hao wamefikia hali hiyo baada ya kila mmoja...

 

11 years ago

GPL

BABU SEYA, PAPII FURAHA UPYA!

Na Elvan Stambuli na Haruni Sanchawa MWANAMUZIKI mkongwe nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ anayetumikia kifungo cha maisha jela na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwa kuwanajisi watoto tisa, wana furaha upya baada ya mwanga wa kuweza kurudi uraiani kuchomoza tena, wakili wao, Mabere Nyaucho Marando amezungumza na Uwazi. Wakili Mabere Nyaucho Marando. KASORO HUKUMU YA MWANZO Akizungumza juzi jijini...

 

9 years ago

GPL

BABU SEYA,PAPII VICHEKO GEREZANI

SIKU chache baada ya mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa kueleza kuwa atawatoa gerezani wanamuziki Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wanaotumikia vifungo vya maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto tisa, imeelezwa kuwa wawili hao wamepata furaha na kuchekelea hivyo kuwa na matumaini mapya. Vyanzo vyetu ndani ya Gereza la Ukonga...

 

11 years ago

GPL

BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI

Stori: WAANDISHI WETU MASKINI! Wakati wakitimiza miaka 10 gerezani tangu walipohukumiwa Juni 25, 2004, mwanamuziki nguli wa dansi Bongo, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wametoa watu machozi kwa mara nyingine. Kwa pamoja wanamuziki nguli wa dansi Bongo, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wakitumbuiza. Wakitumbuiza...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani